Majaji Manento, Lubuva walumbana
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu, Amir Manento na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Jaji Mstaafu, Damian Lubuva jana walilumbana mbele ya wafadhili kuhusu ufanisi wa Nec katika chaguzi mbalimbali nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
UVCCM, madiwani Mvomero walumbana
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilayani Mvomero, Morogoro, imeingia kwenye malumbano na Baraza la Madiwani baada ya mwenyekiti wa jumuiya hiyo kuwaita madiwani ‘mizigo, wazee,...
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Wanawake na wanaume walumbana Saudia
11 years ago
Mwananchi28 May
Papa Francis, Waziri Mkuu Israel walumbana kuhusu Yesu
10 years ago
CloudsFM30 Oct
MSANII MZEE MANENTO AFARIKI DUNIA
MSANII wa filamu za Kibongo, Mzee Manento amefariki dunia jana jioni kiwa jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu ugonjwa wa moyo.
Mzee Manento atakumbukwa katika filamu alizocheza kama 'Hero of the Church', 'Dar to Lagos', 'Fake Pastor' na nyinginezo.
10 years ago
Bongo Movies30 Oct
MSIBA : Muigizaji Mzee Manento amefariki dunia.
Habari zilizotufukia hivi punde zinasema kuwa muigizaji Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Bado tunafuatilia kwa karibu habari hizi nz chanzo ch kifo cha mzee wetu huyu.
Mzee Mnento atakumbukwa hasa kwa filamu alizocheza kiumakin na marehemu Kanumba. Hero of the church, Dar to lagos,fake pastor n.k pumzika kwa Amani
Mungu ailaze Roho ya maerehemu mahali pema peponi amina.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6ovfEf3pFLf*oQbPHC2by35YY*-FqtUtx43oX2zjiLFVY1pwJUFZx0ybIu4NqUB-EugE6XBhRf77Wd5iVW1126brFH2sCsWA/R.I_.P_.jpg?width=650)
TANZIA: MUIGIZAJI MZEE MANENTO AMEFARIKI DUNIA
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Jaji Manento: Wafungwa walinishangilia kwa makofi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*MswHp8EJ2GOjoEJIlP*1N2fOkcvulKNEvOUtjdOKZQhtql2YrNb2vcC3iFnheHhrOYDIKARXNa-4PhVsohaelfp/manento.jpg?width=650)
‘MZEE MANENTO ALIKIONA KIFO’
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Jaji Manento: Sitasahau mauaji ya mwandishi Daudi Mwangosi