Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majaji Manento, Lubuva walumbana

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu, Amir Manento na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Jaji Mstaafu, Damian Lubuva jana walilumbana mbele ya wafadhili kuhusu ufanisi wa Nec katika chaguzi mbalimbali nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

UVCCM, madiwani Mvomero walumbana

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilayani Mvomero, Morogoro, imeingia kwenye malumbano na Baraza la Madiwani baada ya mwenyekiti wa jumuiya hiyo kuwaita madiwani ‘mizigo, wazee,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake na wanaume walumbana Saudia

Wasaudi wamekuwa wakilumbana kwenye mtandao baada ya wengi wao kujitokeza kuchangia ujumbe huu na nukuu " Don't marry a Saudi man", yaani ole wako uolewe na Msaudi.

 

11 years ago

Mwananchi

Papa Francis, Waziri Mkuu Israel walumbana kuhusu Yesu

Malumbano makali ya maneno na hoja yamezuka baina ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuhusu lugha gani aliyotumia Yesu Krtisto miaka 2,000 iliyopita.

 

10 years ago

CloudsFM

MSANII MZEE MANENTO AFARIKI DUNIA

MSANII wa filamu za Kibongo, Mzee Manento amefariki dunia jana jioni kiwa jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu ugonjwa wa moyo.
Mzee Manento atakumbukwa katika filamu alizocheza kama 'Hero of the Church', 'Dar to Lagos', 'Fake Pastor' na nyinginezo.

 

10 years ago

Bongo Movies

MSIBA : Muigizaji Mzee Manento amefariki dunia.

Habari zilizotufukia hivi punde zinasema kuwa muigizaji Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Bado tunafuatilia kwa karibu habari hizi nz chanzo ch kifo cha mzee wetu huyu.

Mzee Mnento atakumbukwa hasa kwa filamu alizocheza kiumakin na marehemu Kanumba. Hero of the church, Dar to lagos,fake pastor n.k pumzika kwa Amani

Mungu ailaze Roho ya maerehemu mahali pema peponi amina. 

 

10 years ago

GPL

TANZIA: MUIGIZAJI MZEE MANENTO AMEFARIKI DUNIA

Msanii wa filamu, Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Bado tunafuatilia kwa karibu kujua chanzo cha kifo cha mzee wetu huyu. Baadhi ya filamu alizocheza Mzee Mnento ni Hero of the church, Dar to lagos, Fake pastor n.k Mungu ailaze Roho ya maerehemu mahali pema peponi amina.

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Manento: Wafungwa walinishangilia kwa makofi

Kwa muda mrefu wanaharakati wamekuwa wakiunyooshea kidole muhimili wa mahakama kwa kutumia muda mrefu kuendesha kesi na kusababisha mrundikano wa mahabusu na wafungwa magerezani.

 

10 years ago

GPL

‘MZEE MANENTO ALIKIONA KIFO’

Stori: Gladness Mallya
KIFO hakina huruma! Wakati mwili wa aliyekuwa staa mkongwe wa sinema za Kibongo, David Manento ‘Mzee Manento’ (73) ukiagwa nyumbani kwake, Kigogo, Dar, wikiendi iliyopita na kusafirishwa kwenda mkoani Kilimanjaro kwa mazishi, mwanaye, Godfrey David Manento amesema ni kama mzee huyo alikiona kifo chake. Picha tofauti zikionesha aliyekuwa staa mkongwe wa sinema za Kibongo, David Manento...

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Manento: Sitasahau mauaji ya mwandishi Daudi Mwangosi

Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Amiri Manento amesema jambo kubwa alilolipitia wakati wa uongozi wake lilikuwa ni kifo cha mwandishi wa habari, Daudi Mwangosi baada ya kupigwa bomu na polisi, mkoani Iringa mwaka 2012.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani