Vigogo wengine wa Uamsho wafikishwa kortini
VIONGOZI wengine wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Mselem Ally Mselem na Abdallah Said Alli Sheikh (Madawa), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Sakata la Escrow vigogo watatu wafikishwa Kisutu
Sakata la Escrow lawapandisha kizimbani vigogo watatu kutoka Tanesco, TRA na BOT
11 years ago
Mwananchi03 May
Watuhumiwa wa wizi wa Benki ya Barclays wafikishwa kortini
>Watu saba wakiwamo mameneja wawili wa Benki ya Barclays wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka ya wizi wa zaidi ya Sh479 milioni mali ya benki hiyo.
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Kiongozi wa Uamsho kortini kesi ya ugaidi
 Kiongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Sheikh Mselem Ali Mselem na mwenzake Abdallah Said Ali wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka matatu likiwamo la kula njama ya kuingiza watu nchini kushiriki vitendo vya ugaidi.
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Wazazi wa binti aliyefariki dunia kwa utata wafikishwa kortini
Watu 12 wakiwamo wazazi wa mtumishi wa ndani, Asela Triphone (16) ambaye kifo chake kilizua tafrani katika Kijiji cha Bukono wilayani Muleba mkoani Kagera, wamefikishwa mahakamani wakituhumiwa kutenda makosa matatu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i2agun98gWY/Xl5dotg8QhI/AAAAAAALgv0/KKWHkXefr6oYfm87SSQUDuVjtrH72c_XACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-03%2Bat%2B14.33.40.jpeg)
WAKAZI WATATU DAR WAFIKISHWA KORTINI WAKIKABILIWA NA SHTAKA LA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA AINA YA HEROINE
Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu Jamii
WAKAZI watatu wa jijini Dar es Salaam Jimmy Mlaki (23), mkazi wa Kinondoni Moscow, Stanley Ngowi maarufu kama Sultani (24), mkazi wa Tabata Segera na Issa Omari (29) wa Kimara wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroine.
Akisoma hati ya mashtaka Wakili wa Serikali Mwandamizi Wankyo Simon amedai mbele ya Hakimu Mkazi Rashid Chaungu kuwa Januari 27 mwaka huu huko Ubungo Kibo...
WAKAZI watatu wa jijini Dar es Salaam Jimmy Mlaki (23), mkazi wa Kinondoni Moscow, Stanley Ngowi maarufu kama Sultani (24), mkazi wa Tabata Segera na Issa Omari (29) wa Kimara wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroine.
![](https://1.bp.blogspot.com/-i2agun98gWY/Xl5dotg8QhI/AAAAAAALgv0/KKWHkXefr6oYfm87SSQUDuVjtrH72c_XACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-03%2Bat%2B14.33.40.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EbHbewBWDdo/XphGFNQC7SI/AAAAAAALnKU/WeHyTQQhEuk0TIfpCve5XsZBU-JKLB7UACLcBGAsYHQ/s72-c/2f7ba3f2-d99b-4b84-81db-818ae508a62f.jpg)
WALIOCHAPISHA TANGAZO LA MIKOPO LINALOSEMA 'JANET MAGUFULI SACCOS' WAFIKISHWA KORTINI WAKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV
MWANAMKE Masse Uledi (43) ambaye ni Mkazi wa Kitunda Magore na mfanyabiashara Nkinda Shekalage (34), anayeishi Tegeta wazo wamewamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi.
Washtakiwa hao wamesomewa mashtaka matatu mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Augustina Mmbando ambayo ni kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutakatisha fedha.
Katika hati ya mashtaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SZ5fwCDHE-E/Xt5FPpRFvLI/AAAAAAALtE0/zqDQVzGvIUYeZjH91heb4mou_5cpDsrgwCLcBGAsYHQ/s72-c/1223.jpg)
WAFIKISHWA KORTINI KWA KUKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI YENYE MASHTAKA SABA ,LIMO LA KUFANYA UDANGANYIFU KATIKA SIMU ZA KIMATAIFA
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV.
RAIA wa Armenia Vardan Mkhitaryan mkazi wa Mbezi jijini Dar es Salaam na Rosemary Mwamezi mkazi wa Makumbusho, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, yenye mashtaka saba yakiwemo ya kufanya udanganyifu kwenye mawasiliano ya simu za kimataifa na kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya sh.milioni 44.5.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo leo Juni 8, mwaka 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi...
RAIA wa Armenia Vardan Mkhitaryan mkazi wa Mbezi jijini Dar es Salaam na Rosemary Mwamezi mkazi wa Makumbusho, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, yenye mashtaka saba yakiwemo ya kufanya udanganyifu kwenye mawasiliano ya simu za kimataifa na kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya sh.milioni 44.5.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo leo Juni 8, mwaka 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b26CKmVYHQM/XlVC1i0p7aI/AAAAAAALfY4/Z8_AEVT5SWcan4tP5SGAVzYPhCU9a6qkwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B16.32.52.jpeg)
RAIA WAWILI WA CHINA WAFIKISHWA KORTINI KWA TUHUMA ZA KUTOA RUSHWA YA MILIONI 11.5 KWA KAMISHNA MKUU WA TRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b26CKmVYHQM/XlVC1i0p7aI/AAAAAAALfY4/Z8_AEVT5SWcan4tP5SGAVzYPhCU9a6qkwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B16.32.52.jpeg)
RAIA wa wawili wa China wanaoishi Mkoa Iringa wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shitaka la kutoa rushwa ya Sh. Milioni 11.5 kwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)Dk. Edwin Mhede.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa na Wakili wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (TAKUKURU ) Mwakatobe Mshana imewataja washtakiwa hao kuwa ni Heng Rongnan (50) na Ou Ya (47) wote wakazi wa Kinyambo ...
11 years ago
Habarileo29 Jul
Vigogo IMTU waburuzwa kortini
VIGOGO wanne wa Chuo Kikuu cha Kimataifa Cha Tiba na Teknolojia (IMTU), wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, wakikabiliwa na mashitaka ya kutupa mifuko 83 yenye miili ya binadamu kinyume cha sheria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania