Vigogo IMTU waburuzwa kortini
VIGOGO wanne wa Chuo Kikuu cha Kimataifa Cha Tiba na Teknolojia (IMTU), wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, wakikabiliwa na mashitaka ya kutupa mifuko 83 yenye miili ya binadamu kinyume cha sheria.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Jan
Wanaohujumu NHIF waburuzwa kortini
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umesema kuanzia mwaka jana hadi kufikia sasa, kuna kesi 18 zinazoendelea katika mahakama mbalimbali nchini zinazotokana na ukiukwaji wa utaratibu wa kujumuisha wategemezi katika kupata huduma za matibabu.
11 years ago
Habarileo27 May
Wafanyakazi Tazara waburuzwa kortini
MAMLAKA ya Reli la Tanzania na Zambia (Tazara) imewashitaki Mahakama Kuu wafanyakazi wake waliokuwa wamegoma, wakishinikiza kulipwa fedha zao za mishahara.
10 years ago
Habarileo15 Jan
Waliogoma Tazara waburuzwa kortini
WAKATI mgomo wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) ukiingia katika siku ya tano leo, menejimenti ya mamlaka hiyo imewashitaki Mahakama ya Kazi wafanyakazi wote waliogoma, kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitano.
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Vigogo wengine wa Uamsho wafikishwa kortini
VIONGOZI wengine wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Mselem Ally Mselem na Abdallah Said Alli Sheikh (Madawa), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Vigogo kortini kwa upotevu wa Sh1.3 bilioni
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Vigogo TAA kortini, wadaiwa kusafirisha meno ya tembo
11 years ago
Habarileo24 Jul
Madaktari waikaanga IMTU
CHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT) kimesema Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) sanjari na hospitali iliyo chini yake, vinastahili kufungiwa.
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Udahili IMTU wasitishwa
TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imesitisha udahili wa wanafunzi wapya kwa mwaka wa masomo 2014/2015 katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU), na kukipa notisi ya...
10 years ago
Habarileo27 Sep
Hospitali IMTU kufunguliwa
UONGOZI wa Hospitali ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU) umesema hospitali hiyo inatarajia kufunguliwa mwishoni mwa mwezi ujao. Kufunguliwa kwake kunatokana na kukamilika kwa marekebisho ya upungufu uliokuwepo awali yaliyosababisha hospitali hiyo kufungiwa kwa muda usiojulikana.