Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madaktari waikaanga IMTU

Rais wa MAT, Dk Primus SaidiaCHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT) kimesema Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) sanjari na hospitali iliyo chini yake, vinastahili kufungiwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Madaktari wasubiri uchunguzi IMTU

>Baraza la Madaktari Tanganyika (TMC) limesema linasubiri majibu ya ripoti zilizoundwa kuchunguza sakata la utupaji holela wa viungo vya binadamu, kabla ya  kutoa adhabu stahiki kwa madaktari waliohusika.

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR

  Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali mkazi wa Kisauni upimaji huo ulifanyika katika kijiji  cha kisauni Zanzibar.   Dokta Fadhil Mohd ambae ni dokta dhamana kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waandishi wa habari hawapo pichani.Wananchi mbalimbali wakipatawa  huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni zanzibar.Picha na Abdalla Omar habari maelezo zanzibar.

 

10 years ago

Habarileo

Hospitali IMTU kufunguliwa

UONGOZI wa Hospitali ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU) umesema hospitali hiyo inatarajia kufunguliwa mwishoni mwa mwezi ujao. Kufunguliwa kwake kunatokana na kukamilika kwa marekebisho ya upungufu uliokuwepo awali yaliyosababisha hospitali hiyo kufungiwa kwa muda usiojulikana.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Udahili IMTU wasitishwa

TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imesitisha udahili wa wanafunzi wapya kwa mwaka wa masomo 2014/2015 katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU), na kukipa notisi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

TCU yasitisha udahili IMTU

>Tume ya Vyuo Vikuu (TCU), imesitisha udahili wa wanafunzi wapya kwa mwaka wa masomo 2014/15 katika Chuo  Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (Imtu) .

 

11 years ago

TheCitizen

IMTU saga -- tip of the iceberg or ?

>The latest saga implicating the International Medical and Technological University (IMTU) for ‘unethical dumping of human organs’ has opened up a whole can of worms in the medical circles, and now, the most pressing question is: How will the IMTU get out of this ethical scandal?

 

11 years ago

Habarileo

Vigogo IMTU waburuzwa kortini

VIGOGO wanne wa Chuo Kikuu cha Kimataifa Cha Tiba na Teknolojia (IMTU), wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, wakikabiliwa na mashitaka ya kutupa mifuko 83 yenye miili ya binadamu kinyume cha sheria.

 

11 years ago

TheCitizen

Govt closes IMTU hospital

>The ministry of Health and Social Welfare yesterday ordered the closure of the 100-bed capacity hospital operating within the campus of the International Medical and Technological University (IMTU), on grounds that it did not meet the standards of operating as a hospital.

 

11 years ago

Mtanzania

Serikali yaifungia Hospitali ya IMTU

Baadhi ya viungo vya miili vilivyokutwa

Baadhi ya viungo vya miili vilivyokutwa

Oliver Oswald na Adam Malinda, Dar es Salaam

SERIKALI imeifungia Hospitali ya Chuo Kikuu cha Tiba na Teknolojia (IMTU) kilichopo Mbezi eneo la Interchiki kwa muda usiofahamika.

Hospitali hiyo imefungiwa kutokana na kukosa sifa, ambapo imebainika kuwa maabara pamoja na wauguzi wake hawana vigezo vya kutoa huduma za kitabibu.

Hatua ya kuifungia hospitali hiyo imekuja siku chache tangu chuo hicho kilipokumbwa na tuhuma nzito za kuhusika na utupaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani