Madaktari wasubiri uchunguzi IMTU
>Baraza la Madaktari Tanganyika (TMC) limesema linasubiri majibu ya ripoti zilizoundwa kuchunguza sakata la utupaji holela wa viungo vya binadamu, kabla ya kutoa adhabu stahiki kwa madaktari waliohusika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Jul
Madaktari waikaanga IMTU
CHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT) kimesema Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) sanjari na hospitali iliyo chini yake, vinastahili kufungiwa.
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
10 years ago
Habarileo11 Jul
Wanachuo wasubiri fedha ya mafunzo
WANAFUNZI wa ualimu zaidi ya 2,000 wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) hawataenda shule walizopangiwa kwa ajili ya mafunzo mpaka serikali itakapowalipa fedha zao za kujikimu.
11 years ago
Habarileo20 Mar
Iringa wasubiri ripoti ya NEMC
WAKAZI wa Iringa mjini wanasubiri matokeo ya tathmini ya athari ya mazingira, iliyofanywa na Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) katika eneo la Igumbilo mjini Iringa. Wiki nne zimepita tangu Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Bonaventura Baya alipoahidi kwamba tathmini hiyo, itafanywa kwa kipindi kisichozidi wiki mbili na matokeo yake kuwekwa hadharani.
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Keshi na Enyeama wasubiri uamuzi wa NFF
11 years ago
Habarileo12 Jun
Watanzania wasubiri bei kupanda, kushuka
WATANZANIA leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 kamili bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum. Tayari Waziri Saada alishaeleza kuwa makadirio ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2014/15, unaoanza Julai mwaka huu, yatakuwa Sh trilioni 19.6 kutoka makadirio ya Sh trilioni 18.2 ya Bajeti inayoisha muda wake.
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Uchaguzi Simba wasubiri hatima ya katiba yao
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Mashabiki wasubiri filamu mpya ya Star Wars
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Madereva wa malori wasubiri msaada wa Waziri Sitta