Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madaktari wasubiri uchunguzi IMTU

>Baraza la Madaktari Tanganyika (TMC) limesema linasubiri majibu ya ripoti zilizoundwa kuchunguza sakata la utupaji holela wa viungo vya binadamu, kabla ya  kutoa adhabu stahiki kwa madaktari waliohusika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Madaktari waikaanga IMTU

Rais wa MAT, Dk Primus SaidiaCHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT) kimesema Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) sanjari na hospitali iliyo chini yake, vinastahili kufungiwa.

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR

  Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali mkazi wa Kisauni upimaji huo ulifanyika katika kijiji  cha kisauni Zanzibar.   Dokta Fadhil Mohd ambae ni dokta dhamana kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waandishi wa habari hawapo pichani.Wananchi mbalimbali wakipatawa  huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni zanzibar.Picha na Abdalla Omar habari maelezo zanzibar.

 

10 years ago

Habarileo

Wanachuo wasubiri fedha ya mafunzo

WANAFUNZI wa ualimu zaidi ya 2,000 wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) hawataenda shule walizopangiwa kwa ajili ya mafunzo mpaka serikali itakapowalipa fedha zao za kujikimu.

 

11 years ago

Habarileo

Iringa wasubiri ripoti ya NEMC

WAKAZI wa Iringa mjini wanasubiri matokeo ya tathmini ya athari ya mazingira, iliyofanywa na Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) katika eneo la Igumbilo mjini Iringa. Wiki nne zimepita tangu Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Bonaventura Baya alipoahidi kwamba tathmini hiyo, itafanywa kwa kipindi kisichozidi wiki mbili na matokeo yake kuwekwa hadharani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Keshi na Enyeama wasubiri uamuzi wa NFF

Mkufunzi wa timu ya soka nchini Nigeria Stephen Keshi amekutana na kamati ya nidhamu ya shirikisho la kandanda nchini humo, NFF mapema leo jumanne, ili kujibu maswali kuhusiana na kuwepo kwa jina lake katika orodha ya wasimamizi wa soka nchini Ivory Coas

 

11 years ago

Habarileo

Watanzania wasubiri bei kupanda, kushuka

WATANZANIA leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 kamili bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum. Tayari Waziri Saada alishaeleza kuwa makadirio ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2014/15, unaoanza Julai mwaka huu, yatakuwa Sh trilioni 19.6 kutoka makadirio ya Sh trilioni 18.2 ya Bajeti inayoisha muda wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi Simba wasubiri hatima ya katiba yao

Kamati ya Uchaguzi ya Simba imeiomba Ofisi ya Msajili wa Klabu na Vyama  vya Michezo nchini ikamilishe mapema usajili wa katiba ya klabu hiyo iliyofanyiwa marekebisho.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mashabiki wasubiri filamu mpya ya Star Wars

Filamu ya karibuni zaidi ya mwendelezo wa filamu za Star Wars, The Force Awakens, itaonyeshwa kwa mara ya kwanza katika mji wa Los Angeles.

 

10 years ago

Mwananchi

Madereva wa malori wasubiri msaada wa Waziri Sitta

Chama cha Madereva wa Masafa Marefu (Chamamata) kimempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kumteua Samwel Sitta kuwa Waziri wa Uchukuzi, kikiamini kuwa atatatua kero za madereva hao zilizodumu kwa muda mrefu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani