Wanachuo wasubiri fedha ya mafunzo
WANAFUNZI wa ualimu zaidi ya 2,000 wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) hawataenda shule walizopangiwa kwa ajili ya mafunzo mpaka serikali itakapowalipa fedha zao za kujikimu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RjQ1K0-4msI/VRvwe7wUkFI/AAAAAAAHOx4/qlJXzL2ObMM/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
WANACHUO WA ADEM WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO BODI YA MIKOPO
Hayo yamebainika hii leo katika ziara ya mafunzo ya wanachuo 147 kutoka Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) unaoendeshea shughuli zake Bagamoyo mkoani Pwani waliofika Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kwa ziara ya mafunzo.
Miongoni mwa maswali yaliyoulizwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HNMDjgNjV3Q/U5do-d9WS0I/AAAAAAAFpoU/UUKr6HsH1SA/s72-c/unnamed+(51).jpg)
ziara mafunzo ya wanachuo na wanafunzi wa shule za msingi bungeni dodoma leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-HNMDjgNjV3Q/U5do-d9WS0I/AAAAAAAFpoU/UUKr6HsH1SA/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eZh6husAkwo/U5do-TOJ52I/AAAAAAAFpoQ/gV79zWWfoUM/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-H-bljDUULtM/U5dnJg2aPHI/AAAAAAAFpnU/4RVWOIBnuDg/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IOXxG4C4vzM/U5dnLlf_-cI/AAAAAAAFpnc/q7MCnhYWJbM/s1600/unnamed+(44).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aWJdSS_-jIE/U5dnOJC2IVI/AAAAAAAFpnk/fMsxMVX6Vx8/s1600/unnamed+(47).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Elimu ya Juu walilia fedha za mafunzo
WANAFUNZI wa elimu ya juu nchini, wameitupia lawama Bodi ya Mikopo kwa kuwacheleweshea fedha za kujikimu wakati wa mafunzo kwa vitendo. Wakizungumza na Tanzania Daima jana kwa njia ya simu,...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-r-4IQ41CIgA/VRxGbqPNwlI/AAAAAAABqYs/JcfL5utTKRA/s72-c/20150308_091632.jpg)
Maafisa wa Upelelezi Kisiwani Pemba wakiwa katika mafunzo kuhusiana na Utakasishaji wa Fedha Haramu
![](http://3.bp.blogspot.com/-r-4IQ41CIgA/VRxGbqPNwlI/AAAAAAABqYs/JcfL5utTKRA/s640/20150308_091632.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kX_Q26Ld6hU/VRxGbNEaSmI/AAAAAAABqYk/z7nMh-1kZW8/s640/20150331_093906.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 May
Bodi yaTaasisi ya UTT-PID ya Wizara ya Fedha pamoja na Menejimenti yake wafanya Ziara ya Mafunzo nchini China
Bodi ya UTT-PID ikiongozwa na mwenyekiti wake Mrs. E Mlaki pamoja na Menejimenti wakiwa na wenyeji wao katika jiji la Chengdu ambapo walifanya ziara katika maeneo tofauti ya uwekezaji na manufaa wanayopata wananchi wa jiji hilo. Ziara hiyo ya siku Tano katika Miji tofauti inatarajia kukamilika Tarehe kumi kabla ya kurejea nyumbani.
Na Mwandishi Maalum
Bodi ya Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyo chini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID), pamoja na Menejimenti yake ipo nchini China...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Iringa wasubiri ripoti ya NEMC
WAKAZI wa Iringa mjini wanasubiri matokeo ya tathmini ya athari ya mazingira, iliyofanywa na Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) katika eneo la Igumbilo mjini Iringa. Wiki nne zimepita tangu Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Bonaventura Baya alipoahidi kwamba tathmini hiyo, itafanywa kwa kipindi kisichozidi wiki mbili na matokeo yake kuwekwa hadharani.
11 years ago
Mwananchi30 Jul
Madaktari wasubiri uchunguzi IMTU
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Keshi na Enyeama wasubiri uamuzi wa NFF
11 years ago
Habarileo12 Jun
Watanzania wasubiri bei kupanda, kushuka
WATANZANIA leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 kamili bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum. Tayari Waziri Saada alishaeleza kuwa makadirio ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2014/15, unaoanza Julai mwaka huu, yatakuwa Sh trilioni 19.6 kutoka makadirio ya Sh trilioni 18.2 ya Bajeti inayoisha muda wake.