Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hospitali IMTU kufunguliwa

UONGOZI wa Hospitali ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU) umesema hospitali hiyo inatarajia kufunguliwa mwishoni mwa mwezi ujao. Kufunguliwa kwake kunatokana na kukamilika kwa marekebisho ya upungufu uliokuwepo awali yaliyosababisha hospitali hiyo kufungiwa kwa muda usiojulikana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

Serikali yaifungia Hospitali ya IMTU

Baadhi ya viungo vya miili vilivyokutwa

Baadhi ya viungo vya miili vilivyokutwa

Oliver Oswald na Adam Malinda, Dar es Salaam

SERIKALI imeifungia Hospitali ya Chuo Kikuu cha Tiba na Teknolojia (IMTU) kilichopo Mbezi eneo la Interchiki kwa muda usiofahamika.

Hospitali hiyo imefungiwa kutokana na kukosa sifa, ambapo imebainika kuwa maabara pamoja na wauguzi wake hawana vigezo vya kutoa huduma za kitabibu.

Hatua ya kuifungia hospitali hiyo imekuja siku chache tangu chuo hicho kilipokumbwa na tuhuma nzito za kuhusika na utupaji wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yaifunga Hospitali ya IMTU

Serikali imeifungia Hospitali ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU), baada ya kuifanyia ukaguzi na kubaini kasoro kadhaa za uendeshaji wake.

 

11 years ago

GPL

VIONGOZI WA CHUO NA HOSPITALI YA IMTU WATINGA MAHAKAMANI

Washtakiwa wakiwa katika gari la polisi Washtakiwa wakisubiri kuingia mahakamani.…

 

11 years ago

Michuzi

BREAKING NYUUUZZZZZ: VIONGOZI WA CHUO NA HOSPITALI YA IMTU WATINGA MAHAKAMANI, DPP AWAONDOLEA MASHTAKA

Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP), aliwapandisha kizimbani vigogo wanne wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba (IMTU) na baadaye kuwaondolea mashitaka kupitia hati ya Nole ya kuwaondolea mashtaka ya kushindwa kufukia viungo vya binadamu na kupeleka hati ya kufukia viungo vilivyotumika kufundishia kwa Kampuni Coroner.  Vigogo hao ni, Venkat Subbaian (57), Appm Shankar (64), Prabhakar Rao (59) na Dinesh Kumar (27) ambao walisomewa mashtaka yao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni,...

 

11 years ago

Habarileo

Madaktari waikaanga IMTU

Rais wa MAT, Dk Primus SaidiaCHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT) kimesema Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) sanjari na hospitali iliyo chini yake, vinastahili kufungiwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Udahili IMTU wasitishwa

TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imesitisha udahili wa wanafunzi wapya kwa mwaka wa masomo 2014/2015 katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU), na kukipa notisi ya...

 

11 years ago

TheCitizen

Govt closes IMTU hospital

>The ministry of Health and Social Welfare yesterday ordered the closure of the 100-bed capacity hospital operating within the campus of the International Medical and Technological University (IMTU), on grounds that it did not meet the standards of operating as a hospital.

 

11 years ago

Mwananchi

Madaktari wasubiri uchunguzi IMTU

>Baraza la Madaktari Tanganyika (TMC) limesema linasubiri majibu ya ripoti zilizoundwa kuchunguza sakata la utupaji holela wa viungo vya binadamu, kabla ya  kutoa adhabu stahiki kwa madaktari waliohusika.

 

11 years ago

TheCitizen

IMTU saga -- tip of the iceberg or ?

>The latest saga implicating the International Medical and Technological University (IMTU) for ‘unethical dumping of human organs’ has opened up a whole can of worms in the medical circles, and now, the most pressing question is: How will the IMTU get out of this ethical scandal?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani