Hospitali IMTU kufunguliwa
UONGOZI wa Hospitali ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU) umesema hospitali hiyo inatarajia kufunguliwa mwishoni mwa mwezi ujao. Kufunguliwa kwake kunatokana na kukamilika kwa marekebisho ya upungufu uliokuwepo awali yaliyosababisha hospitali hiyo kufungiwa kwa muda usiojulikana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Serikali yaifungia Hospitali ya IMTU
![Baadhi ya viungo vya miili vilivyokutwa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/IMTU.jpg)
Baadhi ya viungo vya miili vilivyokutwa
Oliver Oswald na Adam Malinda, Dar es Salaam
SERIKALI imeifungia Hospitali ya Chuo Kikuu cha Tiba na Teknolojia (IMTU) kilichopo Mbezi eneo la Interchiki kwa muda usiofahamika.
Hospitali hiyo imefungiwa kutokana na kukosa sifa, ambapo imebainika kuwa maabara pamoja na wauguzi wake hawana vigezo vya kutoa huduma za kitabibu.
Hatua ya kuifungia hospitali hiyo imekuja siku chache tangu chuo hicho kilipokumbwa na tuhuma nzito za kuhusika na utupaji wa...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Serikali yaifunga Hospitali ya IMTU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJMhO2ocUeEFMeg1kq1VsPZm3OzMRU07TvStcCXRMNdqYOdphYjJxN0cfR7ldWBmEKbHIzIE1e6lP1xhhdlVQstZ/imtu1.jpg?width=650)
VIONGOZI WA CHUO NA HOSPITALI YA IMTU WATINGA MAHAKAMANI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2apl8hySNxg/U9ZTrvM5tJI/AAAAAAAF7b0/tQMb3hV6Ukc/s72-c/unnamed+(27).jpg)
BREAKING NYUUUZZZZZ: VIONGOZI WA CHUO NA HOSPITALI YA IMTU WATINGA MAHAKAMANI, DPP AWAONDOLEA MASHTAKA
11 years ago
Habarileo24 Jul
Madaktari waikaanga IMTU
CHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT) kimesema Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) sanjari na hospitali iliyo chini yake, vinastahili kufungiwa.
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Udahili IMTU wasitishwa
TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imesitisha udahili wa wanafunzi wapya kwa mwaka wa masomo 2014/2015 katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU), na kukipa notisi ya...
11 years ago
TheCitizen26 Jul
Govt closes IMTU hospital
11 years ago
Mwananchi30 Jul
Madaktari wasubiri uchunguzi IMTU
11 years ago
TheCitizen26 Jul
IMTU saga -- tip of the iceberg or ?