Udahili IMTU wasitishwa
TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imesitisha udahili wa wanafunzi wapya kwa mwaka wa masomo 2014/2015 katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU), na kukipa notisi ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Sep
TCU yasitisha udahili IMTU
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Ardhi kuongeza udahili 2016
CHUO Kikuu Ardhi (ARU), kinatarajiwa kudahili wanafunzi 7,700 ifikapo 2016/17. Mwenyekiti wa Baraza la ARU, Tabitha Siwale, aliyasema hayo kwenye mahafali ya nane yaliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa...
11 years ago
Habarileo25 Feb
Kutoajiriwa kupunguza udahili mafunzo ya mifugo
MAKAMU Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Kampasi ya Mpwapwa, Joseph Kasiga amesema kutotekelezwa kwa agizo la kuwapatia ajira wanafunzi wanaofuzu chuoni hapo huenda ikapunguza udahili miaka ijayo. Alisema hayo hivi karibuni wakati Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dk Titus Kamani alipotembelea Taasisi ya Utafiti wa Mifugo (Taliri) Mpwapwa.
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Kidato cha kwanza kufanya udahili wa pamoja
SERIKALI imesema ina mpango wa kuanzisha udahili wa pamoja wa wanafunzi wa kidato cha kwanza wanaotarajiwa kujiunga na shule za sekondari za serikali na binafsi. Msemaji wa Wizara ya Elimu...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Ujenzi wa ghorofa wasitishwa
UONGOZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, umezuia ujenzi wa jengo la ghorofa linalojengwa mkabala na Benki ya NMB kutokana na kuwa na nyufa kwenye kuta na nguzo zake. Zuio...
10 years ago
Habarileo06 May
Mgomo wa mabasi wasitishwa
HUDUMA za usafiri wa mabasi ya mikoani na daladala, zilizokuwa zimekwama kwa saa 31 kuanzia alfajiri ya juzi, zilirejea jana mchana.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-i_nOP-2_elk/VZgrmcVsGdI/AAAAAAAHm50/GiQjz1PjlDY/s72-c/n0u9lxtnqhi85twhh8fk.jpg)
DIT yaongeza muda wa udahili wa wanafunzi wa kozi mbalimbali
![](http://3.bp.blogspot.com/-i_nOP-2_elk/VZgrmcVsGdI/AAAAAAAHm50/GiQjz1PjlDY/s640/n0u9lxtnqhi85twhh8fk.jpg)
10 years ago
Habarileo09 Apr
Vigogo 3 wasitishwa kazi Rubada
KAIMU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Ustawishaji wa Bonde la Mto Rufiji (RUBADA), Aloyce Masanja na wenzake wawili wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha na kujilimbikizia madaraka.
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Nigeria:Mgomo wasitishwa viwandani