Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TCU yasitisha udahili IMTU

>Tume ya Vyuo Vikuu (TCU), imesitisha udahili wa wanafunzi wapya kwa mwaka wa masomo 2014/15 katika Chuo  Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (Imtu) .

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Udahili IMTU wasitishwa

TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imesitisha udahili wa wanafunzi wapya kwa mwaka wa masomo 2014/2015 katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU), na kukipa notisi ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ardhi kuongeza udahili 2016

CHUO Kikuu Ardhi (ARU), kinatarajiwa kudahili wanafunzi 7,700 ifikapo 2016/17. Mwenyekiti wa Baraza la ARU, Tabitha Siwale, aliyasema hayo kwenye mahafali ya nane yaliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa...

 

11 years ago

Habarileo

Kutoajiriwa kupunguza udahili mafunzo ya mifugo

MAKAMU Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Kampasi ya Mpwapwa, Joseph Kasiga amesema kutotekelezwa kwa agizo la kuwapatia ajira wanafunzi wanaofuzu chuoni hapo huenda ikapunguza udahili miaka ijayo. Alisema hayo hivi karibuni wakati Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dk Titus Kamani alipotembelea Taasisi ya Utafiti wa Mifugo (Taliri) Mpwapwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kidato cha kwanza kufanya udahili wa pamoja

SERIKALI imesema ina mpango wa kuanzisha udahili wa pamoja wa wanafunzi wa kidato cha kwanza wanaotarajiwa kujiunga na shule za sekondari za serikali na binafsi. Msemaji wa Wizara ya Elimu...

 

10 years ago

TheCitizen

TCU gets new boss

The Tanzania Commission for Universities (TCU) now has appointed Prof Yunus Mgaya its new executive secretary effective December 5, this year, but he reports to work today.

 

10 years ago

Michuzi

DIT yaongeza muda wa udahili wa wanafunzi wa kozi mbalimbali

Chuo cha Teknolojia cha Dar es Salam (DIT), imeongeza muda wa udahili wa wanafunzi wa kozi tofauti kutoka Agosti mwaka huu hadi kufikia Oktoba, lengo likiwa kutoa fura zaidi kwa waombaji kukamilisha taratibu. Akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, Mkuu wa Uhusiano wa chuo hicho, Amaan Kakana alisema, wamesogeza muda kwa waombaji wa kozi hizo ambazo zitaanza rasmi Novemba ili kutoa fursa kwa wanafunzi wengi zaidi kupata fursa hiyo. Kupata aina ya Kozi hizo...

 

11 years ago

IPPmedia

Tanzania Commission for Universities (TCU)


IPPmedia
Tanzania Commission for Universities (TCU)
IPPmedia
The Tanzania Commission for Universities (TCU) intends to start screening all undergraduate research works submitted in various institutions in a bid to curb cheating and duplication. The programme set to start effective next academic year will, among other ...

 

10 years ago

TheCitizen

Students’ body rejects TCU fee

>University students through their umbrella organ, Tanzania Higher Learning Institutions Students Organisation (Tahliso), have faulted the decision by the Tanzania Commission for Universities (TCU) to introduce a new charge for them which the latter termed ‘quality assurance fee.’

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCU yaanzisha mfumo utambuzi gharama za masomo

TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imeanzisha mfumo wa utambuzi wa gharama za masomo kwa kila mwanafunzi wa elimu ya juu. Mfumo huo utatumika kama mwongozo kwa ajili ya serikali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani