Wanaohujumu NHIF waburuzwa kortini
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umesema kuanzia mwaka jana hadi kufikia sasa, kuna kesi 18 zinazoendelea katika mahakama mbalimbali nchini zinazotokana na ukiukwaji wa utaratibu wa kujumuisha wategemezi katika kupata huduma za matibabu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Jan
Waliogoma Tazara waburuzwa kortini
WAKATI mgomo wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) ukiingia katika siku ya tano leo, menejimenti ya mamlaka hiyo imewashitaki Mahakama ya Kazi wafanyakazi wote waliogoma, kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitano.
11 years ago
Habarileo27 May
Wafanyakazi Tazara waburuzwa kortini
MAMLAKA ya Reli la Tanzania na Zambia (Tazara) imewashitaki Mahakama Kuu wafanyakazi wake waliokuwa wamegoma, wakishinikiza kulipwa fedha zao za mishahara.
11 years ago
Habarileo29 Jul
Vigogo IMTU waburuzwa kortini
VIGOGO wanne wa Chuo Kikuu cha Kimataifa Cha Tiba na Teknolojia (IMTU), wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, wakikabiliwa na mashitaka ya kutupa mifuko 83 yenye miili ya binadamu kinyume cha sheria.
10 years ago
Habarileo04 Apr
Wafanyakazi wanaohujumu TRL kukiona
CHAMA cha Wafanyakazi wa Reli nchini (TRL) kimesema hakitokuwa tayari kumtetea mtu yeyote, atakayefanya vitendo vya ubadhirifu na kuihujumu Kampuni ya Reli nchini (TRL).
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Kanisa lakemea wanaohujumu Katiba mpya
KANISA la Moravian Tanzania Jimbo la Misheni Mashariki, limesema wapo watu wanaojitahidi kutumia pesa na hoja za uongo ili kuwajaza hofu Watanzania kuhusiana na Katiba mpya. Katibu Mkuu wa kanisa...
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Mama Samia Suluhu: Wanaohujumu wakulima tutawashughulikia
Mgombea mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mama Samia Suluhu Hassan (katikati) akiwapongeza mgombea ubunge wa CCM Jimbo la Sikonge, George Kakunda na aliyekuwa mpinzani wake katika kura za maoni, Said Nkumba (kukia) baada ya kumaliza tofauti zao na kuunda timu ya ushindi wa...
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Dk Bilal: Wanaohujumu miundombinu nchini wachukuliwe hatua za kisheria