NEC kutumia mfumo mpya
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inatarajia kutumia mfumo mpya wa kielektroniki katika kujumlisha matokeo ya kura kwa lengo la kuondoa makosa mbalimbali ya kibinadamu, yanayoweza kutokea kwa bahati mbaya wakati wa kujumlisha matokeo hayo katika uchaguzi mkuu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Dec
Waaswa kutumia mfumo mpya kufunza ujasiriamali
WAKUU wa vyuo vya ufundi vya serikali na binafsi nchini wametakiwa kutumia mfumo mpya wa ufundishaji wa somo la ujasiriamali ambao unafundisha kinadharia tofauti na ilivyokuwa hapo awali.
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
NEC yaanza uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo mpya wa (BVR)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) hapa nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jana, kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Liana Hassan na kushoto ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida Joseph Mchina.(PICHA ZOTE NA HILLARAY SHOO Mo Blog, SINGIDA).
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi imeanza mchakato wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura,kwa kuwashirikisha kwa karibu waandishi wa habari hapa nchini.
Lengo la...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-K0r-oAycC4Q/Vf-bdG7RmlI/AAAAAAAAH30/QqiJyrbKGCc/s72-c/Selcom%2BCard%2BTicketing%2BBlog%2B.jpg)
SELCOM YALETA MFUMO MPYA NA WA KISASA WA MALIPO YA TIKETI ZA TAMASHA LA “KILIFEST” KWA KUTUMIA “SELCOM CARD”
![](http://2.bp.blogspot.com/-K0r-oAycC4Q/Vf-bdG7RmlI/AAAAAAAAH30/QqiJyrbKGCc/s1600/Selcom%2BCard%2BTicketing%2BBlog%2B.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K0r-oAycC4Q/Vf-bdG7RmlI/AAAAAAAAH30/QqiJyrbKGCc/s1600/Selcom%2BCard%2BTicketing%2BBlog%2B.jpg)
Kati ya mawakala wa Selcom zaidi ya 15,000 wanaopatikana nchi nzima ni mawakala 40 tu wameochaguliwa kuuza tiketi za KiliFest kwenye vituo vyao na wote hao wanapatikana Dar es salaam.
Baada...
11 years ago
Mwananchi21 May
Tanzania kuanza kutumia mfumo wa kiforodha
11 years ago
Habarileo01 Jul
NEC yafafanua mfumo wa uandikishaji
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema mfumo mpya wa uandikishaji wa wapiga kura wa ‘Biometric Voter Registration Kit’ (BVR), utatumika kwa ajili ya kuandikisha wapiga kura tu, si kwa ajili ya upigaji kura kielektroniki.
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Nchi inaibiwa kwa kutumia mfumo wa kukusanya kodi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7xv7bxSe4jI/VCvhCKk38PI/AAAAAAAGm-k/N5U-OqyJ9HA/s72-c/PIX%2B9.JPGG.jpg)
Watanzania washauriwa kutumia mfumo wa KAIZEN kuleta tija
![](http://4.bp.blogspot.com/-7xv7bxSe4jI/VCvhCKk38PI/AAAAAAAGm-k/N5U-OqyJ9HA/s1600/PIX%2B9.JPGG.jpg)
9 years ago
Mwananchi21 Oct
NEC: Wanasiasa acheni kutumia majukwaa vibaya
11 years ago
Dewji Blog24 Apr
Tanzania kuanza kutumia mfumo wa “electronic single window system” June 2014
Tanzania iko katika hatua muhimu ya utekelezaji wa mfumo wa National Electronic Single Window System, makati bio ya mfumo huu yataanza mwezi June 2014, utarahisisha ufanyaji biashara na kuchangia kainua uchumi wa Tanzania … Mradi huu ni sehemu ya Mpango wa Matokeo Makubwa sasa ( Big Result Now) unasimamiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania kwa niaba ya wadau wote na utanufaisha watumiaji wa bandari zetu zote, viwanja vya ndege, mipaka yote ya Tanzania. Mfumo huu unatarajiwa kupunguza muda wa...