Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania kuanza kutumia mfumo wa “electronic single window system” June 2014

Tanzania iko katika hatua muhimu ya utekelezaji wa mfumo wa National Electronic Single Window System, makati bio ya mfumo huu yataanza mwezi June 2014, utarahisisha ufanyaji biashara na kuchangia kainua uchumi wa Tanzania … Mradi huu ni sehemu ya Mpango wa Matokeo Makubwa sasa ( Big Result Now) unasimamiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania kwa niaba ya wadau wote na utanufaisha watumiaji wa bandari zetu zote, viwanja vya ndege, mipaka yote ya Tanzania. Mfumo huu unatarajiwa kupunguza muda wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Tanzania kuanza kutumia mfumo wa "electronic single window system" mwezi Juni 2014

 Tanzania iko katika hatua muhimu ya utekelezaji wa mfumo wa National Electronic Single Window System, makati bio ya mfumo huu yataanza mwezi June 2014, utarahisisha ufanyaji biashara na kuchangia kainua uchumi wa Tanzania. Mradi huu ni sehemu ya Mpango wa Matokeo Makubwa sasa ( Big Result Now) unasimamiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania kwa niaba ya wadau wote na utanufaisha watumiaji wa bandari zetu zote, viwanja vya ndege, mipaka yote ya Tanzania.  Mfumo huu unatarajiwa kupunguza muda wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkataba wa utekelezaji wa electronic single window system wasaniwa jijini Dar

photo 1

Nikizungumza na vyombo vya habari leo kuhusu kuanzishwa kwa mfumo wa “electronic Single Window System” eSWS … utakaotumiwa na wadau wote wa Bandari Tanzania kuanzia June 2014 hii ni sehemu ya utekelezaji wa Big Results Now …!!!! 

photo 2

Mkataba wa utekelezaji wa mfumo wa electronic single window ukitiwa sahihi kati ya Mkurugenzi wa ICT – TPA Ndg. Phares Magesa kwa niaba ya wadau wa Bandari na Ndg. Stan De Smet Meneja Mkuu wa kampuni ya Phaeros ya Ubelgiji ambao ndio wakandarasi wa mradi huu. photo 3

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kuanza kutumia mfumo wa kiforodha

 Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Tiagi Masamaki amesema Tanzania itaanza jaribio la kutumia mfumo wa kiforodha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (SCT) ifikapo Mei 25 mwaka huu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali yatangaza kuacha kugharamia vikao kazi kwa watendaji wake, kuanza kutumia mfumo wa Video Conference

DSC05670

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Florence Temba (wa pili kutoka kulia) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mawasiliano kwa njia ya video serikalini (video conferencing) katika mkutano uliofanyika Idara ya Habari (Maelezo). Wengine ni viongozi wa Ofisi ya Rais-Utumishi. Wengine ni Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA) Bw. Charles Senkondo (wa pili kutoka kushoto),Mkurugenzi wa TEHAMA Bw.Priscus Kiwango (kushoto) na kulia ni...

 

9 years ago

Michuzi

NAIBU Waziri ofisi ya Rais, Tamisemi, Selemani Jaffo atoa siku 27 kwa wakurugenzi wa halmashauri nchini kuanza kutumia mfumo wa kielekroniki

 Naibu Waziri ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jaffo akishiriki zoezi la kuwapima uzito mmoja wa watoto waliokuwepo katika kituo cha Afya Bahi baada ya kufanya ziara ya kukagua utoaji Huduma za afya katika wilaya ya Bahi, Mkoani Dodoma.  Naibu waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jaffo akizungumza na wagonjwa Mara baada ya kukagua wodi ya akina mama katika Kituo cha afya bahi. Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jaffo akizungumza na watumishi na wakuu wa idara katika...

 

11 years ago

Michuzi

THE TANZANIA CONVENTION-TRADE AND INVESTMENT FORUM AND THE TANZANIA ENTERTAINMENT AND LIFESTYLE AWARDS LONDON JUNE 2014.


Ndugu  Mtanzania  na rafiki  wa  Tanzania ,jee wewe ni  mfanyabiashara?Mjasiriamali?una miliki  biashara  ndogo  au  kubwa ?Unataka  kujua hali  na  mazangira  ya  kibiashara  hivi  sasa  nyumbani  na  vipi  waweza  kupata  frame  hapa  uingereza?Ungependa  kujuana,kushirikiana na  watu mbalimbali wajasiriamali?Wasilina nasi ili  ushiriki  kongamano  la  wana Diaspora   wajasiriamali.Wahi nafasi yako  sasa

Email:newdealafrica@yahoo.co.uk  or  TEL +447960811614

DON’T MISS:

The  Tanzania...

 

11 years ago

Michuzi

TAMASHA LA ZIFF June 14 to June 22, 2014

Festival Program 2014 Festival Program 2014 TIMES and VENUES for SCREENINGS     Read more. BONGO MOVIES SELECTION BONGO MOVIES SELECTION   Mimi na Mungu wangu: Dir. Iddy Bigilwa Fan's Death: Dir.Vincent Kigosi Hard Price: Dir.Vincent Kigosi Twisted: Dir.Vincent Kigosi Foolish Age: Dir. Chiddy Classic Dala dala: Dir.Suleiman Barafu Money Talk: Dir. Haji Adam Witch Doctor: Dir. Leah R. Mwendamseke Bad Luck: Dir.Adam Kuambiana Vanessa in Dilemma: Dir.Saguda George Kitendawili: Dir. Single Mtambalike Zero (Short Film) Dir. Adam...

 

11 years ago

Michuzi

MAONESHO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA, ZAMBIA (TANZANIA WEEK) KUANZA 25 -31 JULAI 2014

Katika kuendelea kusherehekea Muungano wetu na pia kujiunga na wenzetu wa nchi ya Zambia ambao nao mwaka huu wanasherehekea miaka 50 tangu wapate Uhuru (25 Oktoba), Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unapenda kuwajulisha kuwa umeandaa maonesho ya bidhaa zinazozalishwa nchini Tanzania.
Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unachukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi Watanzania kuja kushiriki katika maonesho haya. Tuna amini ni nafasi nzuri ya kujitanganza na kuonana uso kwa uso na wadau mbalimbali...

 

10 years ago

Dewji Blog

2014 CNN — Multichoice Journalist Awards showcases Tanzania despite failure to win a single award

image008

Bento Venâncio, from Jornal Domingo and Brito Simango, from Televisão de Moçambique, posing with Victor Mlunde while holding their Portuguese Language General News Awards.

By Victor Mlunde

Last Saturday, the world witnessed a historic annual CNN-Multichoice Journalist Award ceremony on the continent, hosted for the first time in our commercial capital, Dar Es Salaam.

The choice of Tanzania is not only an unprecedented honor to the great peaceful nation on the continent, but a rare...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani