Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu mwanamke achaguliwa Uingereza

Kanisa la Uingereza limemchagua askofu wa kwanza mwanamke.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamke achaguliwa kuongoza Nepal

Bunge nchini Nepal limemchagua mtetezi wa haki za wanawake Bidhya Devi Bhandari kuwa rais, na kumfanya kuwa mwanamke wa kwanza kabisa kuwa rais nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Helena Lucas achaguliwa- Uingereza

Helena Lucas amekuwa mchezaji wa kwanza kuchaguliwa katika timu ya mbio za meli nchini Uingereza.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke wa kwanza achaguliwa Saudi Arabia

Raia wa Saudi Arabia wameweka historia kwa kumchagua mwanamke wa kwanza kuwa mwakilishi wao katika uchaguzi uliofanyika hapo jana.

 

9 years ago

Dewji Blog

Rooney achaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2015 wa Uingereza

ClickHandler.ashx

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Manchester United, Wayne Rooney (pichani) amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2015 wa Uingereza baada ya fanikiwa kuvunja rekodi ya kufunga magoli mengi katika timu ya taifa ya magoli 49 ambayo awali ilikuwa imewekwa na Sir Bobby Chalton na baade kuweka ya kwake ya magoli 50.

Rooney mwaka 2015 aliichezea Uingereza michezo 8 na kufanikiwa kuifungia magoli 5 ambayo yaliisaidia Uingereza kujihakikishia nafasi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Askofu wa pili mwanamke ateuliwa

Kanisa la Kianglikana nchini Uingereza limemteua Askofu wake wa pili mwanamke, Canon Alison White.

 

9 years ago

Bongo5

Binti wa Askofu Desmond Tutu afunga ndoa na mwanamke mwenzake

Mpho+Tutu

Canon Mpho Tutu‚ mtoto wa Askofu Desmond Tutu wa Afrika Kusini amefunga ndoa na mwanamke mwenzake, Professor Marceline Furth kwenye sherehe ndogo iliyofanyika Alhamis iliyopita nchini Uholanzi.

page (1)

Canon Tutu ni Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya Desmond & Leah Tutu Legacy Foundation. Professor van Furth ni mhadhiri wa Paediatric Infectious Diseases kwenye chuo kikuu cha Vrije cha jijini Amsterdam.

Hiyo ndio ya pili kwa wote wawili. Ndoa yao itasherehekewa mjini ted in Cape Town May 2016.

Jiunge...

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE AJIFUNGUA MTAANI JIJINI BIRMINGHAM, UINGEREZA

Mwanamke huyo baada ya kujifungua akiwa amezungukwa na watu waliokuwa wanamhudumia. Watu wa huduma za afya wakiwa wamemzungushia mashuka ‘mzazi’ huyo.…

 

10 years ago

GPL

KASISI WA KWANZA MWANAMKE KUAPISHWA NCHINI UINGEREZA LEO

Libby Lane. KANISA la Stockport la nchini Uingereza leo litamwapisha mwanamke wa kwanza kuwa kasisi. Libby Lane mwenye umri wa miaka 48 na ambaye ana watoto wawili atakuwa kasisi wa kwanza wa kanisa hilo la Anglikana. Sherehe hizo zitaongozwa na kasisi Mkuu, John Sentamu eneo la York Minister. Hatua hiyo inayomaliza ukiritimba wa utamaduni wa wanaume kuwa makasisi umeendelea kuzua hisia tofauti miongoni mwa wafuasi wa kanisa hilo...

 

5 years ago

Michuzi

ASKOFU MSAIDIZI EUSEBIUS NZIGILWA ATEULIWA KUWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francisco amemteua Askofu Msaidizi Eusebius Nzigilwa kuwa Askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Mpanda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani