KASISI WA KWANZA MWANAMKE KUAPISHWA NCHINI UINGEREZA LEO
![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jJvG6Dn7i74iHLuKU3sYFLE*2NHMKZtpmhHHZIRttfZkrybWXtyu1fiCs*9fqlw*nSAM9j10k8X4uVdN1N0bNnL/webwombishopgetty.jpg)
Libby Lane. KANISA la Stockport la nchini Uingereza leo litamwapisha mwanamke wa kwanza kuwa kasisi. Libby Lane mwenye umri wa miaka 48 na ambaye ana watoto wawili atakuwa kasisi wa kwanza wa kanisa hilo la Anglikana. Sherehe hizo zitaongozwa na kasisi Mkuu, John Sentamu eneo la York Minister. Hatua hiyo inayomaliza ukiritimba wa utamaduni wa wanaume kuwa makasisi umeendelea kuzua hisia tofauti miongoni mwa wafuasi wa kanisa hilo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Kasisi wa kwanza mwanamke kuapishwa UK
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Monalisa Sibanda ni mwanandondi wa kulipwa wa kwanza mwanamke nchini Zimbabwe
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Maombi maalum ya kumuombea Rais Magufuli kufanyika leo nchini Uingereza!!
Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Balozi Msafiri Marwa anatarajiwa kuwa mgeni rsmi katika maombi maalum ya kumuombea Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli maombi yanayotarajiwa kufanyika leo nchini Uingereza. Maombi hayo yataendeshwa na Bishop Francis Sarpong, Pastor Mkuu wa Swahili Bob Baraka na wengineo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRl-5xYCSCPw2qJONrWCYJyDKtXZ4cqpH*JoqtK4ib3TReLqfRlYRjqNfZ8FnMN0K-XtF1DWPVkt9bdCt75Gjobt/1.jpg?width=650)
PICHA YA KWANZA: MAZISHI YA TYSON NCHINI KENYA LEO
9 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS MHE. DKT. BILAL AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA HAPA NCHINI LEO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal katikati, akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe. Dianna Melrose na ujumbe aliofuatana nao wakati Balozi huyo alipofika Ofisini...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zkXwSwIutKA/VDmOiCeLEVI/AAAAAAAGpRQ/eUm_4aQhDEw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Mwili wa marehemu Dkt William Shija wawasili nchini leo kutoka London, Uingereza
![](http://2.bp.blogspot.com/-zkXwSwIutKA/VDmOiCeLEVI/AAAAAAAGpRQ/eUm_4aQhDEw/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dRNSdR2WYk4/VDmOitBm3yI/AAAAAAAGpRU/bY1KFcnqKfk/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qpIvdc9WOu0/VDmOjOkMm5I/AAAAAAAGpRc/Zt0OECK7EFg/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lx___u66pNE/VDmOZq1zTxI/AAAAAAAGpPk/uHKuFLqMml4/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9BTMFS1qhHc/VDmOaGaj0yI/AAAAAAAGpPs/5ffRdeiGbNk/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
11 years ago
MichuziNAIBU BALOZI WA UINGEREZA NCHINI, AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE, JIJINI DAR LEO
10 years ago
Michuzimtuhumiwa wa mauaji nchini uingereza apandishwa kizimbani mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam leo
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-N6WFUQDvW7g/VeNuWL0zffI/AAAAAAAH1FQ/dhAyV90CO-k/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Daktari Bingwa Mshauri maradhi ya Moyo kutoka Tanzania kupewa Tuzo ya Kimataifa nchini Uingereza Leo