Wadau wa maendeleo wafurahsihwa na shughuli za miradi Iringa
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akiangalia ubora wa majani ya chai kwenye kiwanda cha Unilever walipofanya ziara ya kutembelea kiwanda hicho.
Na Mwandishi wetu, Iringa
UJUMBE mzito wa washirika katika maendeleo ya Tanzania jana umetembelea mkoa wa Iringa na kuona shughuli za viwanda vya Sao Hill Industries Limited na Unilever Lugoda vilivyopo wilaya ya Mufindi mkoani hapa.
Ujumbe huo ulijionea shughuli...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s72-c/3.jpg)
Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi
![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jzdmupVD07I/VMCswcuD1RI/AAAAAAAG-0w/iflIDowcVMc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DiQhVYP9zj0/VMCs2uskuQI/AAAAAAAG-2U/EiFI6RtU3Is/s1600/7.jpg)
10 years ago
GPLMFUKO WA MAENDELEO YA JAMII TASAF WAKUTANA NA WADAU WA MAENDELEO JIJINI DSM
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw Ladislaus Mwamanga akitoa neno la ukaribisho kwa washiriki wa Mkutano wa pamoja baina ya wadau wa maendeleo,Maafisa wa serikali na watendaji wa TASAF kwenye Ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini DSM. Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Bwana Peter Ilomo akifungua mkutano wa wadau wa Maendeleo,maafisa wa…
10 years ago
Mwananchi20 Jul
Msigwa asimamisha shughuli Iringa
>Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa jana alisimamisha kwa muda, shughuli za maelfu ya wakazi wa jimbo hilo ambao walijitokeza kumsikiliza katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru ambao aliutumia kuelezea mafanikio aliyopata katika kipindi cha miaka mitano ikiwamo ya kuwafanya wajue haki zao.
10 years ago
MichuziMfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF wakutana na wadau wa Maendeleo jijini DSM kufanya Mapitio ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini PSSN.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_dBr7FLEX24/Xm-b3vTzW7I/AAAAAAALj7w/xpnjaSq43qcGgvA3XmYan43tDIq0Xk4RACLcBGAsYHQ/s72-c/0c82b8ba-5145-42a8-a440-3531bad6450a.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII
Na Mwandishi Wetu Arusha
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.
Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.
Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bf_LS9AKDHM/Xmh27usNf7I/AAAAAAAAMuM/asaiHnM8uXcPaohyqFmckdggo8I555s5QCLcBGAsYHQ/s72-c/R%2B2.jpg)
SHUGHULI ZA MAENDELEO ZINAHITAJIKA NGORONGORO-RC GAMBO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bf_LS9AKDHM/Xmh27usNf7I/AAAAAAAAMuM/asaiHnM8uXcPaohyqFmckdggo8I555s5QCLcBGAsYHQ/s640/R%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9yG6X48R1mY/Xmh2vpYQhYI/AAAAAAAAMuI/ua4R2dj0t90TxZpYcR7kVLEsY2EzG2jzgCLcBGAsYHQ/s640/R%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-TgoFYYCqXnc/Xmh3Hp4ziPI/AAAAAAAAMuU/naj0T2umeugs0YAXgRIUXMkrN-hPOvEsACLcBGAsYHQ/s640/R%2B3.jpg)
11 years ago
MichuziVIJANA WAASWA KUSHIRIKI KATIKA SHUGHULI ZA MAENDELEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uMxF1o08j-U/Xl7BSvq-BZI/AAAAAAALgy8/Bqv3aCKfOw43nc0NGLNs9jxzCCApWfR_gCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-01-768x432.jpg)
MGUMBA AWATAKA WANANCHI KUCHANGIA SHUGHULI ZA MAENDELEO MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-uMxF1o08j-U/Xl7BSvq-BZI/AAAAAAALgy8/Bqv3aCKfOw43nc0NGLNs9jxzCCApWfR_gCLcBGAsYHQ/s640/PIX-01-768x432.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/pix-02-1024x576.jpg)
10 years ago
MichuziMH. RIDHIWANI KIKWETE ATEMBELEA SHUGHULI ZA MAENDELEO JIMBONI KWAKE
Na John Gagarini,Globu ya Jamii - Chalinze
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete jana alianza ziara kwenye Jimbo hilo ambapo ametembelea shughuli mbalimbali pamoja na kujua changamoto zilizopo kwenye Jimbo lake.
Ridhiwani alitembelea kata ya Pera na kuzungumza na wakazi wa vitongoji mbalimbali ambavyo vinaunda kata hiyo ambapo leo ametembelea kata ya Kibindu nako alipata fursa ya kuzungumza na wakazi wa vitongoji vilivyopo kwenye kata hiyo.
Mbunge huyo atakuwa na ziara ya wiki moja...
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete jana alianza ziara kwenye Jimbo hilo ambapo ametembelea shughuli mbalimbali pamoja na kujua changamoto zilizopo kwenye Jimbo lake.
Ridhiwani alitembelea kata ya Pera na kuzungumza na wakazi wa vitongoji mbalimbali ambavyo vinaunda kata hiyo ambapo leo ametembelea kata ya Kibindu nako alipata fursa ya kuzungumza na wakazi wa vitongoji vilivyopo kwenye kata hiyo.
Mbunge huyo atakuwa na ziara ya wiki moja...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10