Sherman kwenda Sauzi kesho
MSHAMBULIAJI wa Yanga Kpar Sherman raia wa Liberia anatarajia kuondoka nchini kwenda Afrika Kusini katika timu ya Mpululanga black Acse kwa ajili ya kufanyiwa vipimo kabla ya kusajiliwa rasmi.
Katibu Mkuu wa Yanga Jonas Tiboroha alithibitisha kuondoka kwa mchezaji huyo raia wa Liberia na kuwa uongozi umempa baraka zote.
Alisema leo atakuwa anamalizia masuala ya mwisho ili aweze kupata visa na kesho atakuwa safarini kwenda Afrika kusini kwa ajili ya vipimo.
“Sherman anaenda...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IlPpOZe_HoA/VVHrWOKAmuI/AAAAAAAHW1Q/JcMdGnzMqvM/s72-c/tff_LOGO1.jpg)
TAIFA STARS KWENDA AFRIKA KUSINI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-IlPpOZe_HoA/VVHrWOKAmuI/AAAAAAAHW1Q/JcMdGnzMqvM/s400/tff_LOGO1.jpg)
Michuano ya COSAFA inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 17 mpaka Mei 30, 2015 katika viwanja vya Olympia Park na Moruleng jimbo la North West Province nchini Afrika Kusini ikishirikisha nchi za Kusini mwa Afrika huku Tanzania na Ghana zikiwa ni nchi waalikwa.
Taifa Stars itaondoka jijini Dar es salaam kesho majira ya saa 1 jioni, kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yLU2uquS8Mw/VXbFOu4EqAI/AAAAAAAHdUs/FNyfyj6lEMY/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
Treni ya kwenda Bara yaahirishwa hadi kesho Jumatano Juni 10, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-yLU2uquS8Mw/VXbFOu4EqAI/AAAAAAAHdUs/FNyfyj6lEMY/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa safari hiyo ni ajali ya treni ya mizigo iliyotokea usiku wa kuamkia leo Jumanne Juni 09, 2015 maeneo ya Stesheni za Ngeta na Ruvu mkoani Pwani ambapo mabehewa matano yenye shehena ya sukari yameanguka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjPxKR4AR6ym64YK6LYDqbCoSzQRkY-7x7yPP3CF-ji8JyaSV-r-aJPMZ4wmYoyqI20NZh6eFC351XIZ5z2IrYaD/deluxe.jpg?width=650)
SAFARI YA TRENI YA DELUXE KWENDA KIGOMA YAAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Tuzo za Mchezaji Bora Afrika… Samatta Kukwea Pipa Kesho Kwenda Nigeria
Mbwana Samatta
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine kesho Jumatano anatarajiwa kuongozana na mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania na klabu ya TP Mazembe ya Congo DR, Mbwana Samatta kuelekea nchini Nigeria kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barania Afrika.
Mbwana Samatta
Mwesigwa anatarajiwa kuondoka na Samatta kuelekea Nigeria katika mji wa Abuja ambapo sherehe za utoaji tuzo hizo zitafayika Alhamisi Januari 7, ambapo siku ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I5aUJzIH8ow/VViD6B4zH_I/AAAAAAAHXwg/gp4cbIPHaJ8/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
TRENI YA DELUXE KWENDA KIGOMA YAAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!
![](http://2.bp.blogspot.com/-I5aUJzIH8ow/VViD6B4zH_I/AAAAAAAHXwg/gp4cbIPHaJ8/s640/unnamed%2B(6).jpg)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa zinatokana na ajali mbili mfululizo za treni za mizigo.
Ajali ya kwanza ilitokea asubuhi saa 1:30 maeneo ya Stesheni ya Ngeta mkoa wa Pwani na ya pili saa 5 asubuhi maeneo ya Stesheni za Kinguruwila na Morogoro!
Ajali hizo...
10 years ago
Michuzi25 Jul
TAARIFAKUHUSU KUAHIRISHWA SAFARI YA TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA HADI KESHO JIONI JULAI 25, 2015
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unasikitika kuwataarifu wananchi na abiria waliokuwa wasafiri na treni ya leo Ijumaa Julai 24, 2015 kutoka Dar es Salaam kwenda bara kuwa safari hiyo imeahirishwa hadi kesho saa 11 jioni. Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa safari hiyo ni ajali ya treni ya mizigo iliyotokea leo Ijumaa Julai 24, 2015 saa 8:15 alasiri maeneo ya Stesheni za Mazimbu –Mkata mkoani Morogoro ambapo ilihusisha mabehewa matano ya treni ya mizigo iliyokuwa...
10 years ago
GPLMAENDELEO YA MSIBA WA MAMA KULWA, DOTTO NA NICO MWAIBALE JIJINI DAR, KUSAFIRISHWA KESHO KWENDA MBEYA KWA MAZISHI
10 years ago
Habarileo04 Aug
Yanga wamuuza Sherman
KLABU ya soka ya Yanga imefanikiwa kumuuza kwa mkataba wa miaka mitatu mshambuliaji wake raia wa Liberia, Kpah Sherman aliyejiunga na timu ya Mpumalanga Black Aces iliyopanda kucheza Ligi Kuu ya Afrika Kusini ya PSL msimu huu.