Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kingwendu kupamba bonanza Tanga leo

MSANII maarufu wa maigizo na uchekeshaji, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’, anatarajiwa kushiriki katika bonanza la michezo na burudani litakalofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Majani Mapana jijini Tanga, leo. Kingwendu atakuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

EXTRA BONGO KUPAMBA BONANZA LA JOGGING KESHO DAR LIVE

KWA wale wapenda michezo wote, kesho watakutana katika bonanza kubwa la Jogging litakalorindima ndani ya Dar Live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar kwa kushirikisha michezo mbalimbali pamoja na shoo  baab’kubwa kutoka kwa Ally Choki na Kundi la Wakali Dancers. Bonanza hilo limeandaliwa na kampuni ya Red Bull kwa kushirikiana na Benson and Dunhill Cigaratte na Sayona Pure Drinking Water ambapo lengo lake ni kuukaribisha mwaka...

 

11 years ago

GPL

MSONDO, H. BABA KUPAMBA BONANZA LA JOGGING & GLOBAL BREAKING NEWS 15778 DAR LIVE

BENDI ya muziki wa dansi ya Msondo, wasanii nyota wa Bongo Fleva, H. Baba, Nay wa Mitego na Stamina wanatarajia kulipamba Bonanza la Jogging la Global Breaking News 15778 litakalofanyika katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar, Februari 9 mwaka huu. Mratibu wa Bonanza hilo, Rajabu Mteta (KP) ameiambia Mikito Nusunusu  kuwa kabla ya wasanii hao kupanda jukwaani kuanzia asubuhi hadi jioni, kutakuwa na jogging...

 

10 years ago

GPL

KINGWENDU ATIMBA NDANI YA GLOBAL TV ONLINE LEO

Kingwendu akila pozi matata ndani ya studio za Global TV Online leo. Kingwendu akiwa katika picha ya pamoja na Shabaan Mbegu, Mhariri wa Gazeti la Championi Jumamosi.…

 

10 years ago

Michuzi

Wasanii wa serengeti fiesta Tanga wamjulia hali Babu njenje, Tanga, leo

 Msanii mkongwe wa muziki wa dansi Mabrouk Omar a.k.a Babu  Njenje (kushoto), akiongea na wasanii wa muziki wa kizazi kipya walipomtembelea nyumbani kwake mjini Tanga , msanii huyo kwa sasa anasumbuliwa na matatizo ya kiafya. Wasanii hao wapo katika msafara wa tamasha ya Serengeti fiesta ambapo kwa mjini hapo linafanyika katika Uwanja wa Mkwakwani. Mkurugenzi wa  Uzalishaji  na Vipindi wa Clouds Media, Ruge Mutahaba (kushoto) na Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney wakiteta na  Masanii...

 

9 years ago

Mtanzania

YOUNG DEE KUPAMBA AFTER SCHOOL BASH LEO

11205845_1702680259954682_1343396100_nTAMASHA la burudani linalohusisha wanafunzi kutoka shule na vyuo mbalimbali linaloitwa After School Bash linafanyika leo kwenye ufukwe wa Escape One jijini Dar es Salaam ambapo nyota mbalimbali wa muziki wakiongozwa na David Genzi ‘Young Dee’ watatumbuiza.

Akipiga stori na Swaggaz kuhusiana na tamasha hilo, Young Dee alisema amejiandaa vya kutosha kuhakikisha
mashabiki wake watakaokwenda kwenye ufukwe huo watapata burudani ya nguvu kutoka kwake.

“Binafsi nimejiandaa poa kuhakikisha kwamba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Amin, Makhirikhiri kupamba ‘Usiku wa Banza Stone’ leo

MSANII wa muziki wa kizazi kipya ‘Bongo Fleva’, Amin Mwinyimkuu ‘Amin’, na kundi la Sanaa la Makhirikhiri wa Bongo ni miongoni mwa burudani zitakazosindikiza onesho maalumu la ‘Usiku wa Banza...

 

10 years ago

Michuzi

BONANZA LA SIMBA DAY LILIVYOFANYA UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO

 RAIS wa klabu ya soka ya Simba, Evans Aveva, (pichani juu), jana alikuwa kama kocha wa Chelsea, Josse Morinho, kutokana na jinsi alivyokuwa akiwaelekeza wachezaji wa timu ya viongozi wa Simba dhidi ya timu ya soma ya wasanii wa bongo movie na bongo flava kwenye maadhimisho ya siku ya Simba almaarufu kama Simba Day.Aveva abaye alikuwa “kaulamba” yaani kapiga suti yake nyeusi, alikuwa ndio “kocha wa timu hiyo ya viongozi wa Simba.

Akiwa amevalia suti nyeusi, hakuweza kutulia kwenye kiti, kila...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani