Amin, Makhirikhiri kupamba ‘Usiku wa Banza Stone’ leo
MSANII wa muziki wa kizazi kipya ‘Bongo Fleva’, Amin Mwinyimkuu ‘Amin’, na kundi la Sanaa la Makhirikhiri wa Bongo ni miongoni mwa burudani zitakazosindikiza onesho maalumu la ‘Usiku wa Banza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BkOjhKl2Ths/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Z_08nFtIzrw/Vajno4GN8wI/AAAAAAABSBU/XsD9k2y5pdo/s72-c/banza%2Bstone.jpg)
BREAKING NEWS: BANZA STONE AFARIKI DUNIA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z_08nFtIzrw/Vajno4GN8wI/AAAAAAABSBU/XsD9k2y5pdo/s640/banza%2Bstone.jpg)
CHANZO: EAST AFRIKA RADIO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-tLMe1DiHoHA/VapZloM_vCI/AAAAAAAHqVI/m856FA-Uo9I/s72-c/b1.jpg)
Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa leo jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-tLMe1DiHoHA/VapZloM_vCI/AAAAAAAHqVI/m856FA-Uo9I/s640/b1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gLRz0qCeA0UIAsZSo6K*2c1keocTVRrzZY5XsSt81UApEpBUpmf*MLuqEVsDw2VlPL7NuHSh*uS7bjp4XaPpZ*XSCQDGNYMR/banza.jpg)
BANZA STONE KUOA KIMYAKIMYA
Stori: Gladness Mallya
MWANAMUZIKI wa bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza stone’ amefunguka kwamba ndoa yake itafanyika kimyakimya na hakuna msanii atakayeshiriki. Mwanamuziki wa bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza stone’. Akipiga stori na gazeti hili, Banza alisema ndoa yake haitakuwa na michango, kwani atamuita sheikh na watoto wa madrasa kwa ajili ya kupiga dufu, huku mama yake...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbIJdC1DLPq0wWBtW3NW7Y*2B-oK2dC5XwpXC5PqC3dRcP-ZC451mlxKBgT4SPfER8qHTEQmIgJlFEzpAIK9b4aZ/10.jpg)
LINI BANZA STONE UTATUHURUMIA?
Mwanamuziki Ramadhani Masanja ‘Banza Stone’. RAMADHANI Masanja ‘Banza Stone’ ni mwanamuziki mkubwa wa muziki wa dansi la kileo. Dansi la kileo ninamaanisha hili linalopigwa na bendi zinazochombeza na sebene za Kikongo. Sina uhakika sana, lakini sidhani kama itakuwa sahihi kwa shabiki wa muziki huu, kumuondoa Le General katika Tatu Bora, kama ataamua kuwapanga mastaa wake kwa namba, kutokana na uwezo...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GWkEmfliqss/default.jpg)
BANZA STONE AMEFARIKI DUNIA
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/11252759_1270562932958122_6544080775110454403_n.jpg)
Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama ‘Banza stone’ amefariki dunia nyumbani kwao hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.R.I.P Banza Stone
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-OpEEdJwbltg/VMPyrYWZ_XI/AAAAAAADWXQ/_6QZRr7o4oE/s72-c/CHOKI34.jpg)
BANZA STONE YUKO 'MAHUTUTI' TUNDUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OpEEdJwbltg/VMPyrYWZ_XI/AAAAAAADWXQ/_6QZRr7o4oE/s1600/CHOKI34.jpg)
Kwanini Tunduma? Bendi yao ya Rungwe ilikuwa na ziara katika miji kadhaa ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgBgsIZiIjoy3vpzE0Z8oZ3bUcRqFeVLnet*TFXPDWlXPJGokW3SFUUXUlNj32rcPGzspa8DN7c9nyuRPLSIYV1B/BANZA.jpg)
BANZA STONE: UGONJWA HUU UTANIUA!
Issa Mnally na Gladness Mallya/ Ijumaa Wikienda
Maskini! Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ yu mgonjwa tena, safari hii ameibuka na kueleza maradhi ambayo yanamsumbua akisema: ‘Ugonjwa huu utaniua.†Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’. Awali Ijumaa Wikienda lilipokea taarifa juu ya kuumwa kwa Banza ambapo...
10 years ago
Bongo517 Jul
Banza Stone afariki dunia (Details)
Muimbaji wa muziki wa dansi aliyewahi kutamba akiwa na bendi mbalimbali zikiwemo Twanga Pepeta na TOT Band, Ramadhan Masanja maarufu kama Banza Stone amefariki dunia mchana wa Ijumaa, July 17. Banza alikuwa amelazwa kwenye hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Taarifa kuhusu kifo chake zimethibitishwa na kaka yake pamoja na mmiliki wa Twanga Pepeta, […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania