Timu ya Afrika kuondoka kwa mafungu
TIMU ya Tanzania itakayoshiriki katika mashindano ya Mataifa ya Afrika yatakayofanyika Brazzaville, Congo itaondoka kwa awamu tatu, imeelezwa. Tanzania katika michezo hiyo itakayoanza Septemba 4 hadi 19 itawakilishwa na timu za ngumi, kuogelea, soka la wanawake (Twiga Stars), Paralympic, riadha na judo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKOMBE LA MEYA SHINYANGA 2015 LAZINDULIWA,TIMU 18 KUCHUANA, MSHINDI KUONDOKA NA ZAWADI NONO!
Mashindano hayo ambayo yameandaliwa na mstahiki meya wa manispaa ya Shinyanga Gulam Hafidh Mukadam na kudhaminiwa na kampuni ya Vinywaji baridi ya Pepsi (SBC Tanzania Ltd) yanashirikisha timu 17 za kata zote za manispaa hiyo na timu ya polisi Shinyanga.
Mashindano ya Kombe la Meya Shinyanga yakihusisha...
10 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA PARALYMPIC YAKABIDHIWA VIFAA KWA AJILI MICHEZO YA AFRIKA
11 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA POOL YAENDELEA KUJIJUA TAYARI KWA MASHINDANO YA AFRIKA
TIMU ya Taifa ya Safari Pool imeonyesha uwezo wa juu baada ya kuzichapa timu za kombania za Mikoa ya kimichezo ya Ilala na Temeke kwa siku tofauti katika kujiweka sawa na mshindano ya Afrika ya mchezo huo yajulikanayo kwa “Safari All Africa Pool Championship”.
Timu ya Safari Pool ilianza mchakato wa kujipima ikiwa ni sehemu ya maandalizi natimu ya Kombania ya Mkoa wa kimichezo wa Ilala ambapo waliibuka na ushindi wa 12-9 katika mchezo uliochezwa Ijumaa octoba 10,2014 kwenye Ukumbi...
Timu ya Safari Pool ilianza mchakato wa kujipima ikiwa ni sehemu ya maandalizi natimu ya Kombania ya Mkoa wa kimichezo wa Ilala ambapo waliibuka na ushindi wa 12-9 katika mchezo uliochezwa Ijumaa octoba 10,2014 kwenye Ukumbi...
10 years ago
Michuzi
TIMU YA WATU 39 KUTOKA AFRIKA KUSINI WAPNDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA KUNUNUA TAULO MAALUMU KWA WASICHANA WALIOPO MASHULENI PINDI WAWAPO KATIKA HEDHI




11 years ago
MichuziTimu ya Jamhiri ilivyoigaragaza timu ya Polisi Zanzibar kwa bao 1-0
11 years ago
Mwananchi02 Sep
Mafungu ya Ukimwi yazidi kushuka, maambukizi mapya yashika kasi
Wakati watu watatu walipothibitika kuwa na maambukizi ya Ukimwi mwaka 1983, hakuna ambaye angeweza kutabiri kile ambacho kingeweza kutokea miaka michache baadaye.
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Timu kumi zafuzu Afrika
Afrika Kusini ni miongoni mwa nchi sita zilizofuzu katika michezo ya juzi kwa ajili ya kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon 2015) na hivyo kufikisha idadi ya nchi 10 ambazo tayari zimefuzu kabla ya mechi za mwisho zitakazochezwa keshokutwa.
11 years ago
BBCSwahili01 Jul
Timu za Afrika zaangushwa Brazil
Timu mbili za mwisho za Afrika katika kombe la duniua zimeondoka Brazil baada ya kushindwa katika awamu ya timu bora kumi na sita.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania