Timu za Afrika zaangushwa Brazil
Timu mbili za mwisho za Afrika katika kombe la duniua zimeondoka Brazil baada ya kushindwa katika awamu ya timu bora kumi na sita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Timu ya soka ya Kenya kwenda Brazil
Sio kushiriki mechi yoyote bali kutazama michuano ya kombe la dunia. Ni zawadi waliyopokea kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Misafara ya timu kivutio cha macho Brazil
Misafara ya timu mbalimbali kutoka mazoezini kwenda hoteli, au kutoka hotelini kwenda katika mechi na kurudi imebakiwa kuwa vivutio vya hali ya juu nchini Brazil. Lakini msafara wa Brazil una mbwembwe zaidi.
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Kambi za timu 32 Fainali za Kombe la Dunia 2014 Brazil
Kila zinapofanyika fainali za Kombe la Dunia, timu zinazoshiriki fainali hizo hupewa nafasi ya kuchagua hoteli na viwanja vya mazoezi vinavyokuwa vimeandaliwa kwa ajili ya kuweka kambi.
11 years ago
Bongo514 Jul
Fellipe Scorali afukuzwa kazi ya kuinoa timu ya Brazil
Kocha wa timu ya Taifa Brazil, Luiz Felipe Scolari amefukuzwa kazi ya ukocha katika kikosi hicho baada ya matokeo mabaya katika michuano ya Kombe la Dunia 2014. Shirikisho la Soka la Brazil (CBF) limetangaza kuwa halita mwongezea mkataba mpya Luiz Felipe Scolari wa kuendelea kukinoa kikosi hicho kutokana na matokeo mabaya. Scolari amelaumiwa kwa kushindwa […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmaORCaPHcjTv8XcxkjJysyB2az*X*fYkLlqefv*1I6qBed-Gfu68rGjbGwyknfJ6K8Ylsl6N6rkfm3TBlMSvWVL/watotowamitaani.jpg?width=650)
TIMU YA WATOTO WA MITAANI YA TANZANIA YATWAA KOMBE LA DUNIA BRAZIL
Timu ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania ambayo imetwaa Kombe la Dunia. Watoto hao ambao ni mabingwa wakishangilia na kiongozi wao, Mutani Yangwe .…
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S1WZylbPjN4/UzM6tSjjclI/AAAAAAAFWtc/IFdXI5jMbAc/s72-c/unnamed+(17).jpg)
TIMU YA WATOTO WA MITAANI YAKABIDHIWA VIFAA KABLA YA KWENDA BRAZIL MASHINDANONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-S1WZylbPjN4/UzM6tSjjclI/AAAAAAAFWtc/IFdXI5jMbAc/s1600/unnamed+(17).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YgFp4I6jcxA/U0FjCX99qxI/AAAAAAAFY1E/XqaPgNY6YTw/s72-c/watoto+wa+mitaani.jpg)
JUST IN: TIMU YA WATOTO WA MITAANI YATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA NCHINI BRAZIL
![](http://2.bp.blogspot.com/-YgFp4I6jcxA/U0FjCX99qxI/AAAAAAAFY1E/XqaPgNY6YTw/s1600/watoto+wa+mitaani.jpg)
Hadi mapumziko Tanzania ilikuwa mbele kwa mabao 4-0. Bao pekee la Marekani katika mchezo huo ambayo hadi nusu fainali ilikuwa haijafungwa lilifungwa dakika za mwisho.
Kwa matokeo hayo, Tanzania inacheza nusu fainali na Burundi....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania