Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timu za Afrika zaangushwa Brazil

Timu mbili za mwisho za Afrika katika kombe la duniua zimeondoka Brazil baada ya kushindwa katika awamu ya timu bora kumi na sita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Timu ya soka ya Kenya kwenda Brazil

Sio kushiriki mechi yoyote bali kutazama michuano ya kombe la dunia. Ni zawadi waliyopokea kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta

 

11 years ago

Mwananchi

Misafara ya timu kivutio cha macho Brazil

Misafara ya timu mbalimbali kutoka mazoezini kwenda hoteli, au kutoka hotelini kwenda katika mechi na kurudi imebakiwa kuwa vivutio vya hali ya juu nchini Brazil. Lakini msafara wa Brazil una mbwembwe zaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Kambi za timu 32 Fainali za Kombe la Dunia 2014 Brazil

Kila zinapofanyika fainali za Kombe la Dunia, timu zinazoshiriki fainali hizo hupewa nafasi ya kuchagua hoteli na viwanja vya mazoezi vinavyokuwa vimeandaliwa kwa ajili ya kuweka kambi.

 

11 years ago

Bongo5

Fellipe Scorali afukuzwa kazi ya kuinoa timu ya Brazil

Kocha wa timu ya Taifa Brazil, Luiz Felipe Scolari amefukuzwa kazi ya ukocha katika kikosi hicho baada ya matokeo mabaya katika michuano ya Kombe la Dunia 2014. Shirikisho la Soka la Brazil (CBF) limetangaza kuwa halita mwongezea mkataba mpya Luiz Felipe Scolari wa kuendelea kukinoa kikosi hicho kutokana na matokeo mabaya. Scolari amelaumiwa kwa kushindwa […]

 

11 years ago

GPL

TIMU YA WATOTO WA MITAANI YA TANZANIA YATWAA KOMBE LA DUNIA BRAZIL

Timu ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania ambayo imetwaa Kombe la Dunia. Watoto hao ambao ni mabingwa wakishangilia na kiongozi wao, Mutani Yangwe .…

 

11 years ago

Michuzi

TIMU YA WATOTO WA MITAANI YAKABIDHIWA VIFAA KABLA YA KWENDA BRAZIL MASHINDANONI

Mkurugenzi na muasisi wa taasisi ya Tanzania Street Children (TSC), Bw. Altaf  Hirani akimkabidhi vifaa vya jezi meneja msafara wa timu ya watoto wa mitaani ya Tanzania, Majuto Ismail,  jijini Mwanza kabla ya kuondoka nchini kuelekea nchini Brazil kushiriki michuano ya kombe la dunia la watoto wa mitaani. Picha na Moses Mashalla.

 

11 years ago

Michuzi

JUST IN: TIMU YA WATOTO WA MITAANI YATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA NCHINI BRAZIL

Timu ya Taifa ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania imetinga fainali za mashindano ya Kombe la Dunia la Watoto wa Mitaani baada ya kuichapa Marekani mabao 6-1 katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali uliochezwa jana (Aprili 5 mwaka huu) jijini Rio de Janeiro, Brazil.
Hadi mapumziko Tanzania ilikuwa mbele kwa mabao 4-0. Bao pekee la Marekani katika mchezo huo ambayo hadi nusu fainali ilikuwa haijafungwa lilifungwa dakika za mwisho.
Kwa matokeo hayo, Tanzania inacheza nusu fainali na Burundi....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani