Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maguri asikitika kutemwa Simba

MSHAMBULIAJI wa Simba, Elius Maguri amesema kitendo cha kuachwa dakika za mwisho kimemuumiza sana ukizingatia amefanya mazoezi kwa kujituma sana Zanzibar.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mapunda: Kutemwa Stars kawaida

KIPA wa Simba, Ivo Mapunda, amesema kitendo cha kuachwa katika kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kinachojiwinda na mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi ‘Intamba Murugamba’ itakayochezwa Aprili 26,...

 

10 years ago

Habarileo

Lema asikitika uandikishaji kuahirishwa

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema amesema uandikishaji wapigakura katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, uliokuwa uanze jana na kuahirishwa, umewasikitisha kama chama kwa kuwa wananchi hawakupewa taarifa za usitishwaji wa uandikishaji huo.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHUMI: JK asikitika kuacha wengi wakiwa maskini

>Rais Jakaya Kikwete amesikitika kushindwa kukuza sekta ya kilimo hali iliyosababisha wananchi kuendelea kuwa maskini.

 

9 years ago

Habarileo

Ngoma ambeza Maguri

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Yanga, Donald Ngoma, amesema bado hajaona mpinzani wa kumzuia ashindwe kubeba tuzo ya Mfungaji Bora msimu huu baada ya kuizoea Ligi ya Tanzania Bara kwa muda mfupi tangu ajiunge na timu hiyo.

 

10 years ago

GPL

Nyosso ampigia simu Maguri

Beki wa Mbeya City Juma Nyosso. Na Martha Mboma
BEKI mkongwe wa Mbeya City, Juma Said Nyosso, amekubali kuwa kitendo alichomfanyia mshambuliaji wa Simba, Elias Maguri na kuonyeshwa na Gazeti la Championi si sahihi, si cha kiungwana na anajuta kupita kiasi. Kutokana na maumivu ya moyo anayoyapata kutokana na kushiriki katika kitendo hicho, Nyosso amefanya mambo mawili, kwanza ni kumpigia simu Maguri na pili kupiga katika ofisi...

 

9 years ago

Habarileo

Maguri awatisha nyota wa kigeni

MSHAMBULIAJI Elias Maguri amezidi kuwawashia taa washambuliaji wa kigeni kwenye mbio za kuwania kiatu cha mfungaji bora baada ya juzi kuifungia mabao mawili timu yake.

 

9 years ago

Habarileo

Maguri, Busungu waitwa Stars

WASHAMBULIAJI Elias Maguri wa Stand United ya Shinyanga na Malimi Busungu wa Yanga, wameongezwa katika kikosi cha timu ya soka ya Taifa ‘Taifa Stars’ kitakachoingia kambini Oman kujiandaa na mchezo dhidi ya Algeria mwezi ujao.

 

9 years ago

TheCitizen

Maguri to leave Stand United

Stand United and national soccer team striker Elias Maguri will part ways with the Shinyanga-based club next year, it has been revealed.

 

9 years ago

Habarileo

Maguri awatoroka kimtindo Kiiza, Ngoma

MSHAMBULIAJI wa Stand United, Elias Maguri juzi aliiwezesha Stand United kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi Mgambo Shooting wakati alipofunga bao la pekee kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani