Lema asikitika uandikishaji kuahirishwa
MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema amesema uandikishaji wapigakura katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, uliokuwa uanze jana na kuahirishwa, umewasikitisha kama chama kwa kuwa wananchi hawakupewa taarifa za usitishwaji wa uandikishaji huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Lema achafua hewa uandikishaji BVR
10 years ago
Habarileo09 Aug
Maguri asikitika kutemwa Simba
MSHAMBULIAJI wa Simba, Elius Maguri amesema kitendo cha kuachwa dakika za mwisho kimemuumiza sana ukizingatia amefanya mazoezi kwa kujituma sana Zanzibar.
10 years ago
Mwananchi10 Jun
UCHUMI: JK asikitika kuacha wengi wakiwa maskini
10 years ago
Bongo Movies20 Jan
Wolper Asikitika Jina Lake Kutumiwa na Coca Cola Bila Hata Kushirikishwa Wala Kulipwa!!!
Kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa INSTAGARM, Wolper alifunguka;
“Habari Followers pamoja na wa Tanzania wote ambao naamini huwa mnaingia katika page yangu ya insta.Nimepokea zawadi hii ya Coca cola kwa siku 6 .
Na sio kwamba sikutaka kupiga picha kama wenzangu au ku post kama wenzangu, nilikuwa natafakari kweli kampuni kubwa ya kitaifa na kimataifa inaweza kutumia gharama kubwa kuandika majina yetu bila kuchukuwa hata nafasi na heshima kubwa tuliyonayo kutushirikisha tu katika...
10 years ago
Mtanzania10 Oct
Uchaguzi wa ubunge Arusha kuahirishwa
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
CHAMA cha ACT Wazalendo kimepata pigo baada ya mgombea wake wa Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Estomih Mallah kufariki katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC Mjini Moshi.
Katika hilo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa mujibu wa sheria italazimika kuusogeza mbele uchaguzi wa ngazi ya ubunge.
Ilidaiwa kuwa Septemba 6, mwaka huu Mallah alianza kujisikia vibaya wakati akiwa katika mkutano wa mgombea urais wa chama chake, Anna Mghwira na kwamba baada ya mkutano alipelekwa...
10 years ago
Vijimambo10 Oct
Uchaguzi Arusha Mjini kuahirishwa

Majimbo mengine ambayo kura ya kuchagua wabunge haitapigwa ni Lushoto, baada ya kufariki kwa mgombea ubunge wa Chadema, Mohamed Mtoi mwanzoni mwa Septemba mwaka huu.
Lingine ni Ulanga Mashariki, baada ya mgombea ubunge wa jimbo...
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Uchaguzi mkuu nchini CAR kuahirishwa
10 years ago
BBCSwahili19 May
Zuma ataka uchaguzi kuahirishwa Burundi
9 years ago
CHADEMA BlogTAARIFA YA KUAHIRISHWA KWA MKUTANO WA CHADEMA