Uchaguzi mkuu nchini CAR kuahirishwa
Rais wa CAR Catherine Samba Panza amesema uchaguzi mkuu nchini humo utaahirishwa kwa sababu za kiusalama.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Ukawa wahofia Uchaguzi Mkuu kuahirishwa
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Mkuu wa tume ya uchaguzi ajiuzulu CAR
10 years ago
MichuziWaangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kuingia nchini kufuatilia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25
10 years ago
MichuziVIJANA WA NCHI MWANACHAMA WA MAZIWA MKUU KUSHUHUDIA MAMBO YA UCHAGUZI MKUU HAPA NCHINI
10 years ago
Vijimambo10 Oct
Uchaguzi Arusha Mjini kuahirishwa

Majimbo mengine ambayo kura ya kuchagua wabunge haitapigwa ni Lushoto, baada ya kufariki kwa mgombea ubunge wa Chadema, Mohamed Mtoi mwanzoni mwa Septemba mwaka huu.
Lingine ni Ulanga Mashariki, baada ya mgombea ubunge wa jimbo...
10 years ago
Mtanzania10 Oct
Uchaguzi wa ubunge Arusha kuahirishwa
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
CHAMA cha ACT Wazalendo kimepata pigo baada ya mgombea wake wa Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Estomih Mallah kufariki katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC Mjini Moshi.
Katika hilo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa mujibu wa sheria italazimika kuusogeza mbele uchaguzi wa ngazi ya ubunge.
Ilidaiwa kuwa Septemba 6, mwaka huu Mallah alianza kujisikia vibaya wakati akiwa katika mkutano wa mgombea urais wa chama chake, Anna Mghwira na kwamba baada ya mkutano alipelekwa...
10 years ago
BBCSwahili19 May
Zuma ataka uchaguzi kuahirishwa Burundi
10 years ago
BBCSwahili07 May
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
Taarifa kamili ya kuahirishwa kwa uchaguzi Zanzibar iko hapa
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
TUME ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) , imefuta na kuhairisha matokeo yote ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kutokana na kujitokeza kwa kasoro mbali mbali za ukiukaji wa sheria na kanuni za uchaguzi Zanzibar.
Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa tume hiyo, Jecha Salim Jecha alisema kuwa kutokana na kasoro mbali mbali zilizojitokeza katika uchaguzi huu na kusababisha vikwazo mbali mbali...