Mkuu wa tume ya uchaguzi ajiuzulu CAR
Mkuu wa tume ya uchaguzi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amejiuzulu, na hivyo kuzusha shaka kama uchaguzi wa juma lijalo utafanywa kama ulivyopangwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL15 Sep
10 years ago
Michuzi25 Apr
10 years ago
Michuzi25 Apr
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s72-c/1-26-2048x1365.jpg)
Tume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s640/1-26-2048x1365.jpg)
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-19-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2B-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Uchaguzi mkuu nchini CAR kuahirishwa
Rais wa CAR Catherine Samba Panza amesema uchaguzi mkuu nchini humo utaahirishwa kwa sababu za kiusalama.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/V8XZEI4wack/default.jpg)
10 years ago
GPL25 Apr
11 years ago
BBCSwahili10 Jan
Rais wa mpito CAR ajiuzulu
Rais wa mpito katika Jamhuri ya Afrika ya Kati Michel Djotodia amejiuzulu baada ya wiki kadhaa za vurugu za kidini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QEkXuvOtyq4/Xuw3Qhzr3LI/AAAAAAALuhQ/8MkrLGO9xakigc5NHW75W4Jwedn7T6aRACLcBGAsYHQ/s72-c/P4.jpg)
KATIBU MKUU NZUNDA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC)JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QEkXuvOtyq4/Xuw3Qhzr3LI/AAAAAAALuhQ/8MkrLGO9xakigc5NHW75W4Jwedn7T6aRACLcBGAsYHQ/s640/P4.jpg)
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge) Bw. Tixon Nzunda pamoja na timu aliyoongozana nayo wakiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC) lililopo eneo la Njedengwa Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/P7.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania