Sitta aanza kwa mkwara mzito
Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta ameagiza kukamatwa na kufikishwa mahakamani mara moja kwa watumishi wa uwanja wa ndege ambao dawa za kulevya zitapita wakiwa kwenye zamu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo13 Oct
Mwambusi aanza kwa mkwara Yanga
KOCHA mpya wa Yanga aliyetangazwa kuchukua nafasi ya Boniface Mkwasa, Juma Mwambusi amesema kuwa ataziba pengo la kocha huyo. Mwambusi kabla ya kujiunga na Yanga alikuwa Kocha Mkuu wa Mbeya City aliyoisaidia kupanda daraja kutokea ligi daraja la kwanza.
10 years ago
Mwananchi27 Aug
TFF yachimba mkwara mzito
11 years ago
Habarileo12 Jan
Mwanri amtwanga mkwara mzito Mkurugenzi Maswa
NAIBU Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Aggrey Mwanri amempa siku 30 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu kuhakikisha wazee wanaostahili kupewa matibabu bure wanaorodheshwa haraka.
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Sitta achimba mkwara
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amewaonya wajumbe wanaozungumza hovyo bungeni bila idhini ya kiti akisema wataingia kwenye matatizo bure. Sitta alitoa angalizo hilo bungeni jana alipokuwa akitoa...
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Sitta amchimba mkwara mkewe
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Makocha wapya Yanga waanza kwa mkwara
MAKOCHA wapya wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondamali ‘Mensah’ wameanza kukinoa kikosi cha klabu hiyo huku wakiwaonya wachezaji hasa watovu wa nidhamu. Pondamali na Mkwasa wameanza kuinoa timu...
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Mkwara wa Gwajima kwa Kova wazaa matunda
10 years ago
Bongo529 Dec
Fella adai alipigwa mkwara na mashehe kwa kumvalisha suruali Bibi Cheka