Mkwara wa Gwajima kwa Kova wazaa matunda
Hoja za kisheria alizowasilisha Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kuhusu kutakiwa kuwasilisha nyaraka 10 za utajiri na usajili wa kanisa lake polisi zimezaa matunda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Mgomo wa Walimu wazaa matunda
MAANDAMANO yaliyofanywa na walimu wapya jijini hapa mwishoni mwa wiki iliyopita wakidai mishahara na marupurupu mengine yameanza kuzaa matunda, baada ya uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kukubali kuwakopesha...
9 years ago
Habarileo26 Dec
Utumbuaji majipu wazaa matunda
HATUA anazozichukua Rais John Magufuli, katika kukabiliana na ufisadi ndani ya taasisi na idara za Serikali, zimeanza kuzaa matunda. Hatua hizo ambazo zinafahamika kama ‘kutumbua majipu’, pia zimeonesha kuungwa mkono na wasomi, wananchi, washirika wa maendeleo na mataifa mbalimbali ya nje.
11 years ago
BBCSwahili26 Jan
Mkutano wa Syria wazaa matunda, machache
10 years ago
Uhuru Newspaper08 Apr
Kova awachimba mkwara wahalifu
NA FURAHA OMARYPOLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imewatangazia kiama wahalifu, ambapo imeamua kuwasaka kwa kutumia helkopta, baada ya kupata taarifa kwamba wamekimbilia mpakani mwa mkoa huo na wa Pwani.
“Tunaendelea na operesheni kali dhidi ya wahalifu, kwani tumepata taarifa kwamba kuna wahalifu wamekimbilia mpakani mwa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani,” alisema Kamishna wa Kanda hiyo, Suleiman Kova.
Kamishna Kova aliyasema hayo mjini Dar es Salaam, alipozungumza na Uhuru kuhusiana na...
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Breaking News! Askofu Gwajima ‘aidindia’ jeshi la Polisi waliomfuata kumchukua nyumbani kwake SalaSala, ajisalimisha na Wakili wake muda huu kwa Kamanda Kova
Baadhi ya Maaskofu wa Kanisa la Gwajima na maaskofu rafiki wa makanisa ya Pentekoste wakiongea na Gwajima (Hayupo pichani) ambaye alikuwa akiwapa maelekezo kabla ya kuondoka kwenda kuhojiwa jeshi la Polisi mchana wa leo.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima mapema leo ameibua hofu kubwa kwa majirani na waumini wake waliokuwa wametanda nje ya nyumba yake baada ya Jeshi la Polisi kuvamia kwake kwa lengo la kumchukua kwenda Polisi Centro...
10 years ago
Mtanzania11 Apr
Mawakili wa Gwajima wamwandikia Kova barua
NA AGATHA CHARLES
WAKILI wa Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, Peter Kibatala, ameliandikia barua Jeshi la Polisi nchini akiomba vifungu vya sheria vilivyotumika kuomba nyaraka za umiliki wa vitu mbalimbali vya Askofu huyo.
Pamoja na hilo, Kibatala aliomba mteja wake huyo kuambiwa kwa maandishi juu ya vitu vinavyotakiwa kuwasilishwa kwa Jeshi hilo.
Barua hiyo ambayo Kibatala ameielekeza kwa Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, pia nakala yake...
10 years ago
Mtanzania09 Apr
Kova: Ole wenu wafuasi wa Gwajima
![Kamishna Suleiman Kova](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Suleiman-Kova-300x200.jpg)
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limetoa onyo kwa wafuasi wa Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ambao leo wamepanga kumsindikiza kiongozi wao kwenda katika mahojiano na jeshi hilo.
Hatua ya wafuasi hao kutaka kumsindikiza kiongozi huyo, imekuja baaada ya kutangaziwa kujitokeza kwa wingi wakiwa katika kanisa hilo lilipo Kawe, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Sitta aanza kwa mkwara mzito