Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utumbuaji majipu wazaa matunda

HATUA anazozichukua Rais John Magufuli, katika kukabiliana na ufisadi ndani ya taasisi na idara za Serikali, zimeanza kuzaa matunda. Hatua hizo ambazo zinafahamika kama ‘kutumbua majipu’, pia zimeonesha kuungwa mkono na wasomi, wananchi, washirika wa maendeleo na mataifa mbalimbali ya nje.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

UWT Mkoa wa Iringa chaunga mkono zoezi la utumbuaji  majipu

 

Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi UWT mkoa wa Iringa umeuomba Uongozi wa Rais wa awamu ya tano Dokta John Magufuli kuendelea kuibua maovu yaliyofichika katika zoezi la utumbuaji wa majipu kwa madai kuwa unaziunga mkono jitihada hizo.

UWT mkoa wa Iringa umesema kauli mbiu ya “Kutumbua Majibu” imelenga kuleta tija kwa kundi kubwa la watanzania ambalo kilio chao kikuu ni hali ngumu ya uchumi.

Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi UWT  Mkoa wa Iringa, Zainabu Mwamwindi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgomo wa Walimu wazaa matunda

MAANDAMANO yaliyofanywa na walimu wapya jijini hapa mwishoni mwa wiki iliyopita wakidai  mishahara  na marupurupu mengine yameanza kuzaa matunda, baada ya uongozi wa Halmashauri  ya Jiji la Mwanza kukubali kuwakopesha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkutano wa Syria wazaa matunda, machache

Siku ya pili ya mazungumzo mjini Geneva, imekubaliwa kuwa baadhi ya wakaazi wa Homs waruhusiwe kutoka

 

10 years ago

Mwananchi

Mkwara wa Gwajima kwa Kova wazaa matunda

Hoja za kisheria alizowasilisha Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kuhusu kutakiwa kuwasilisha nyaraka 10 za utajiri na usajili wa kanisa lake polisi zimezaa matunda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ushindi wa Ivory Coast wazaa sikukuu

Ivory Coast imetangaza Jumatatu kuwa mapumziko kusherehekea ushindi dhidi ya Ghana katika fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli atumbua Majipu 23

John+Magufuli+PHOTO*Atengua uteuzi wa katibu Mkuu Uchukuzi, bosi Bandari
*Vigogo TPA wasimamishwa kazi, wawekwa chini ya ulinzi

Na Fredy Azzah, Dar es Salaam

MPANGO wa Rais Dk. John Magufuli wa kutumbua majipu, safari hii umegeuka na kung’oa vigogo 23 wa Mamkala ya Bandari (TPA) pamoja na kuvunja Bodi ya Wakurugenzi ya mamlaka hiyo.

Bodi hiyo ilikuwa na vigogo kadhaa akiwamo Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson na Mkurugenzi wa zamani wa Mamlaka ya Udhibiti ya Nishati na Maji (Ewura), Haruna Masebu.

Hatua ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli – Nitapasua majipu

IMG_0209Agatha Charles na Aziza Masoud

RAIS John Magufuli jana alilizindua Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano kwa kurejea mambo aliyoyaahidi wakati wa kampeni zake za urais huku akijipa jukumu jipya aliloliita la kupasua majipu.

Katika hotuba yake ya uzinduzi wa Bunge hilo iliyochukua muda wa masaa mawili, Rais Magufuli alisisitiza kuwa amejipa kazi ya kupasua majipu yanayoitesa serikali ili kuijenga upya Tanzania na kurejesha matumaini yaliyopotea ya Watanzania.

Hotuba hiyo ambayo ni ya kwanza...

 

9 years ago

Habarileo

Mwenyekiti aapa kutumbua majipu

MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Isack Mahela, amesema atafuata nyayo za Rais John Magufuli, ili ayatumbue majipu yote yaliyoko katika halmashauri hiyo, ambayo yamekuwa yakitafuna fedha za miradi ya maendeleo bila aibu.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aendelea kutumbua majipu

RAIS John Magufuli ameendelea kutumbua majipu katika maeneo mbalimbali yenye harufu ya ufisadi, ambapo safari hii ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk Shaaban Mwinjaka kwa ajili ya kupisha uchunguzi dhidi ya matumizi mabaya ya kiasi cha Sh bilioni 13 katika Shirika la Reli Tanzania (TRL).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani