UWT Mkoa wa Iringa chaunga mkono zoezi la utumbuaji  majipu
Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi UWT mkoa wa Iringa umeuomba Uongozi wa Rais wa awamu ya tano Dokta John Magufuli kuendelea kuibua maovu yaliyofichika katika zoezi la utumbuaji wa majipu kwa madai kuwa unaziunga mkono jitihada hizo.
UWT mkoa wa Iringa umesema kauli mbiu ya “Kutumbua Majibu” imelenga kuleta tija kwa kundi kubwa la watanzania ambalo kilio chao kikuu ni hali ngumu ya uchumi.
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi UWT Mkoa wa Iringa, Zainabu Mwamwindi...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo26 Dec
Utumbuaji majipu wazaa matunda
HATUA anazozichukua Rais John Magufuli, katika kukabiliana na ufisadi ndani ya taasisi na idara za Serikali, zimeanza kuzaa matunda. Hatua hizo ambazo zinafahamika kama ‘kutumbua majipu’, pia zimeonesha kuungwa mkono na wasomi, wananchi, washirika wa maendeleo na mataifa mbalimbali ya nje.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WuRcYrz_WC0/VmgFNixtZeI/AAAAAAAABPE/q_nhmwT5uxo/s72-c/IMG_20151209_094857.jpg)
WAFANYAKAZI WA NURU FM 93.5 IRINGA WAFANYA USAFI HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA IRINGA KUMUUNGA MKONO RAIS DKT.MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-WuRcYrz_WC0/VmgFNixtZeI/AAAAAAAABPE/q_nhmwT5uxo/s640/IMG_20151209_094857.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d5nb5p4lo8Y/VmgGArjVQ3I/AAAAAAAABP0/G96NDXp7hoo/s640/IMG_20151209_095033.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qXzQPNeFbEI/VmgGflq4QUI/AAAAAAAABQU/Pq0c_mofV2M/s640/IMG_20151209_100256.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://4.bp.blogspot.com/-agGXGgOEjrc/XtDlv1DIEeI/AAAAAAACLzw/-Mob0omv7D0k7CAAnGKMBHd6F8pPWoHVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200529_133539.jpg)
5 years ago
CCM Blog29 May
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kcDlLy7_wso/Xpaliewi4WI/AAAAAAALm_U/xVYygQBibLQVDhqORhWVl3X091Nk8aH4gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
CHAMA CHA CUF CHAUNGA MKONO MAAMUZI YA SERIKALI KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19) NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-kcDlLy7_wso/Xpaliewi4WI/AAAAAAALm_U/xVYygQBibLQVDhqORhWVl3X091Nk8aH4gCLcBGAsYHQ/s400/index.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eVSPenXB4v0/XvLswpt_-fI/AAAAAAALvKA/UXq_79XnpQcizgisBCC-75oXrGzhiYrPQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B6.07.09%2BPM.jpeg)
KATIBU UWT WILAYA YA DODOMA MJINI AONGOZA ZOEZI LA KUMDHAMINI RAIS MAGUFULI
Charles James, Michuzi TV
WANAWAKE wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Dodoma Mjini leo wamejitokeza kwa wingi kumdhamini Rais Dk John Magufuli katika fomu yake ya kuwania Urais kupitia chama hiko.
Zoezi hilo la ujazaji fomu limeongozwa na Katibu wa UWT Wilaya ya Dodoma Mjini, Diana Madukwa katika uwanja wa Jamhuri ambapo jumla ya wanawake 1,000 wamejitokeza kumdhamini Rais Magufuli.
Akizungumza na Michuzi Blog, Katibu huyo wa UWT Dodoma Mjini, Diana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wYQI3bh0VfA/XuU8-M2Uo6I/AAAAAAALtvQ/sgp0AxrsKMYLkL03N6THoFKq_9kqvKTTwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B9.53.09%2BPM.jpeg)
UWT DODOMA MJINI YAMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI KWENYE SEKTA YA AFYA NA ELIMU
Vifaa vilivyotolewa na UWT Wilaya ya Dodoma Mjini ni Mashuka 50 ya kujifunikia katika Kituo cha Afya Mkonze ambacho kilikua kinatumika kuhudumia wagonjwa wenye maambukizi ya ugonjwa wa Corona na vifaa vya kufanyia mitihani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuReAt*SvSINcgBFSx*cxca6SI49EIsuP8qYwH69MCWOLujFKk6CmctPia3tv*iM9IL*k5iNXMmCOVIHBMqUmpTZC/001Iringa.jpg?width=650)
WAKAZI 6 WA MKOA WA IRINGA WATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM IRINGA
10 years ago
MichuziVIJANA WA CCM IRINGA WAMPA NGUVU KATIBU WA MKOA HASSAN MTENGA KUKOMBOA JIMBO, LA IRINGA MJINI
KIU ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kukomboa jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu inazidi kuongezeka, baada ya umoja wake wa vijana (UVCCM Manispaa ya Iringa) kuahidi kuongeza nguvu ili kuufanikisha mkakati huo.
CCM ililipoteza jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2010 kwa Mchungaji Msigwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayekaribia kumaliza muda wake.
Katika...