Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kova: Ole wenu wafuasi wa Gwajima

Kamishna Suleiman Kova

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova

Na Asifiwe George, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limetoa onyo kwa wafuasi wa Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ambao leo wamepanga kumsindikiza kiongozi wao kwenda katika mahojiano na jeshi hilo.
Hatua ya wafuasi hao kutaka kumsindikiza kiongozi huyo, imekuja baaada ya kutangaziwa kujitokeza kwa wingi wakiwa katika kanisa hilo lilipo Kawe, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ole wenu Yanga, aonya Julio

Ligi Kuu Tanzania Bara inarejea leo kwa michezo kadhaa, ingawa ule wa Yanga dhidi ya Mwadui, ugenini mjini Shinyanga ndiyo wenye kuvuta hisia za wengi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mutungi: Viongozi wa siasa watulizeni wafuasi wenu

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amewataka viongozi wa vyama kutoa maelekezo kwa wafuasi na wanachama wao kutoshiriki katika vitendo vya uvunjifu wa amani.

 

9 years ago

Mwananchi

Ole wenu mnaokwepa kulipa kodi - TRA

Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), imesema haitatishika wala kuyumbishwa na mfanyabiashara yeyote kutekeleza majukumu yake kutokana na nguvu iliyoongezewa na Rais John Magufuli.

 

10 years ago

Vijimambo

OLE WENU MNAOPENDA HADI KUKWAA ‘UGONJWA’ WA KKK!

Niwiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiwa na imani kwamba Mungu amekujaalia uzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida.Mimi kama ilivyo ada yangu, namshukuru Mungu kwa kila jambo ambalo amekuwa akinitendea katika maisha yangu ya kila siku.Kikubwa nimshukuru kwa kunipa uwezo wa kuandika mambo ambayo yamekuwa ni yenye msaada kwa wengi walio kwenye uhusiano wa kimapenzi.Niseme tu kwamba, maisha yetu bila mapenzi hayajakamilika. Hata uwe mgumu...

 

10 years ago

GPL

OLE WENU MNAOPENDA HADI KUKWAA ‘UGONJWA’ WA KKK!

Niwiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiwa na imani kwamba Mungu amekujaalia uzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida.Mimi kama ilivyo ada yangu, namshukuru Mungu kwa kila jambo ambalo amekuwa akinitendea katika maisha yangu ya kila siku. Kikubwa nimshukuru kwa kunipa uwezo wa kuandika mambo ambayo yamekuwa ni yenye msaada kwa wengi walio kwenye uhusiano wa kimapenzi. Niseme tu...

 

10 years ago

Mtanzania

Mawakili wa Gwajima wamwandikia Kova barua

kovaNA AGATHA CHARLES
WAKILI wa Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, Peter Kibatala, ameliandikia barua Jeshi la Polisi nchini akiomba vifungu vya sheria vilivyotumika kuomba nyaraka za umiliki wa vitu mbalimbali vya Askofu huyo.
Pamoja na hilo, Kibatala aliomba mteja wake huyo kuambiwa kwa maandishi juu ya vitu vinavyotakiwa kuwasilishwa kwa Jeshi hilo.
Barua hiyo ambayo Kibatala ameielekeza kwa Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, pia nakala yake...

 

10 years ago

Mwananchi

Mkwara wa Gwajima kwa Kova wazaa matunda

Hoja za kisheria alizowasilisha Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kuhusu kutakiwa kuwasilisha nyaraka 10 za utajiri na usajili wa kanisa lake polisi zimezaa matunda.

 

10 years ago

Dewji Blog

Sakata la Gwajima: Wafuasi wake 15 mbaroni kwa madai ya kutaka kumtorosha

kova1

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia na kuwahoji watu 15 ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya kula njama pamoja na kujaribu kumtorosha Askofu Josephat Mathias Gwajima ambaye amelazwa katika Hospitali ya TMJ kwa matibabu.

Mnamo tarehe 29/03/2015 majira ya saa tisa na dakika thelathini usiku watu hao 15 katika hali isiyo ya kawaida walifika hospitalini hapo wakidai kwamba walikuwa wanataka kwenda kumuona...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News! Askofu Gwajima ‘aidindia’ jeshi la Polisi waliomfuata kumchukua nyumbani kwake SalaSala, ajisalimisha na Wakili wake muda huu kwa Kamanda Kova

maaskofu wenzake

Baadhi ya Maaskofu wa Kanisa la Gwajima na maaskofu rafiki wa makanisa ya Pentekoste wakiongea na Gwajima (Hayupo pichani) ambaye alikuwa akiwapa maelekezo kabla ya kuondoka kwenda kuhojiwa jeshi la Polisi mchana wa leo.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima  mapema leo ameibua hofu kubwa  kwa majirani  na waumini wake waliokuwa wametanda nje ya nyumba yake baada ya Jeshi la Polisi kuvamia kwake kwa lengo la kumchukua kwenda Polisi Centro...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani