Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ole wenu mnaokwepa kulipa kodi - TRA

Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), imesema haitatishika wala kuyumbishwa na mfanyabiashara yeyote kutekeleza majukumu yake kutokana na nguvu iliyoongezewa na Rais John Magufuli.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…

Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa  kutoka kwa […]

The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...

 

10 years ago

Mwananchi

Vigogo escrow waanza kulipa kodi ya TRA

 Baadhi ya vigogo walionufaika na mgawo wa mabilioni ya fedha kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow wameanza kulipa kodi kuanzia Januari Mosi kama ilivyoagizwa na Serikali.

 

5 years ago

Michuzi

WALIOKWEPA KULIPA KODI WAHUKUMIWA KULIPA BILIONI 1.5 BAADA YA KUKILI KOSA


Na Karama Kenyunko Michuzi TV,  
ALIYEKUWA Rais wa Kampuni ya Acacia, Deodatus Mwanyika na wenzake wamehukumiwa kulipa fidia ya Sh bilioni 1.5 baada ya kukiri mashitaka ya kukwepa kulipa kodi.
Pia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu kulipa faini ya Sh milioni 1.5 1 ama kutumikia kifungo cha miezi minne gerezani iwapo watashindwa kulipa faini hiyo.

Mbali na Mwanyika washitakiwa wengine ni Meneja Uhusiano wa Mgodi wa Bulyanhulu, Alex Lugendo,  Mkurugenzi mtendaji wa mgodi wa Pongea, North...

 

10 years ago

Mtanzania

Kova: Ole wenu wafuasi wa Gwajima

Kamishna Suleiman Kova

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova

Na Asifiwe George, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limetoa onyo kwa wafuasi wa Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ambao leo wamepanga kumsindikiza kiongozi wao kwenda katika mahojiano na jeshi hilo.
Hatua ya wafuasi hao kutaka kumsindikiza kiongozi huyo, imekuja baaada ya kutangaziwa kujitokeza kwa wingi wakiwa katika kanisa hilo lilipo Kawe, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na...

 

9 years ago

Mwananchi

Ole wenu Yanga, aonya Julio

Ligi Kuu Tanzania Bara inarejea leo kwa michezo kadhaa, ingawa ule wa Yanga dhidi ya Mwadui, ugenini mjini Shinyanga ndiyo wenye kuvuta hisia za wengi.

 

10 years ago

Vijimambo

OLE WENU MNAOPENDA HADI KUKWAA ‘UGONJWA’ WA KKK!

Niwiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiwa na imani kwamba Mungu amekujaalia uzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida.Mimi kama ilivyo ada yangu, namshukuru Mungu kwa kila jambo ambalo amekuwa akinitendea katika maisha yangu ya kila siku.Kikubwa nimshukuru kwa kunipa uwezo wa kuandika mambo ambayo yamekuwa ni yenye msaada kwa wengi walio kwenye uhusiano wa kimapenzi.Niseme tu kwamba, maisha yetu bila mapenzi hayajakamilika. Hata uwe mgumu...

 

10 years ago

GPL

OLE WENU MNAOPENDA HADI KUKWAA ‘UGONJWA’ WA KKK!

Niwiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiwa na imani kwamba Mungu amekujaalia uzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida.Mimi kama ilivyo ada yangu, namshukuru Mungu kwa kila jambo ambalo amekuwa akinitendea katika maisha yangu ya kila siku. Kikubwa nimshukuru kwa kunipa uwezo wa kuandika mambo ambayo yamekuwa ni yenye msaada kwa wengi walio kwenye uhusiano wa kimapenzi. Niseme tu...

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA MANISPAA YA SUMBAWANGA WALALAMIKIA KODI MBALIMBALI SERIKALINI, MKUU WA MKOA WA RUKWA AWATAKA KUWA WAZALENDO KULIPA KODI KWA HIARI KUJENGA NCHI YAO

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akisikiliza risala ya umoja wa wafanyabiashara wa Manispaa ya Sumbawanga iliyokuwa ikisomwa kwake na Mwenyekiti wa umoja huo Ndugu Willington Kiziba Ndyetabura (Kulia). Katika risala hiyo yalikuwepo malalamiko mbalimbali ikiwemo ya matumizi ya mashine za EFD ambapo ni pamoja na gharama kubwa za mataengenezo, Ada ya ukaguzi wa majanga ya moto(Fire), Kupanda mara mbili kwa kodi ya mapato kwa wafanyabiashara wadogo na Ulinzi na Usalama kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Walioshindwa kulipa kodi hadharani

MAKAMPUNI 15 yaliyokwepa kodi baada ya kutorosha makontena yao, yamejisalimisha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), lakini yameshindwa kulipa kodi ndani ya siku saba za msamaha wa Rais John Magufuli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani