Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vigogo escrow waanza kulipa kodi ya TRA

 Baadhi ya vigogo walionufaika na mgawo wa mabilioni ya fedha kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow wameanza kulipa kodi kuanzia Januari Mosi kama ilivyoagizwa na Serikali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…

Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa  kutoka kwa […]

The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...

 

9 years ago

Mwananchi

Ole wenu mnaokwepa kulipa kodi - TRA

Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), imesema haitatishika wala kuyumbishwa na mfanyabiashara yeyote kutekeleza majukumu yake kutokana na nguvu iliyoongezewa na Rais John Magufuli.

 

10 years ago

Mtanzania

Escrow yauma vigogo BoT, TRA

Pg 1Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MKURUGENZI wa Fedha wa Benki Kuu, Julius Angello, Meneja wa Misamaha ya Kodi wa TRA, Kyabukoba Mutabingwa na Mwanasheria Mwandamizi wa Tanesco, Steven Urassa wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kupokea rushwa ya zaidi ya Sh bilioni mbili kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
Washtakiwa hao walipandishwa jana kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya mahakimu wawili tofauti na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na...

 

11 years ago

Mwananchi

TRA na JWT waanza kupitia mfumo wa kodi

Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wameanza kazi ya mapitio ya kuboresha mfumo mzima wa kodi ili uendane na matumizi ya mashine za kielektroniki (EFD).

 

5 years ago

Michuzi

WALIOKWEPA KULIPA KODI WAHUKUMIWA KULIPA BILIONI 1.5 BAADA YA KUKILI KOSA


Na Karama Kenyunko Michuzi TV,  
ALIYEKUWA Rais wa Kampuni ya Acacia, Deodatus Mwanyika na wenzake wamehukumiwa kulipa fidia ya Sh bilioni 1.5 baada ya kukiri mashitaka ya kukwepa kulipa kodi.
Pia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu kulipa faini ya Sh milioni 1.5 1 ama kutumikia kifungo cha miezi minne gerezani iwapo watashindwa kulipa faini hiyo.

Mbali na Mwanyika washitakiwa wengine ni Meneja Uhusiano wa Mgodi wa Bulyanhulu, Alex Lugendo,  Mkurugenzi mtendaji wa mgodi wa Pongea, North...

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA MANISPAA YA SUMBAWANGA WALALAMIKIA KODI MBALIMBALI SERIKALINI, MKUU WA MKOA WA RUKWA AWATAKA KUWA WAZALENDO KULIPA KODI KWA HIARI KUJENGA NCHI YAO

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akisikiliza risala ya umoja wa wafanyabiashara wa Manispaa ya Sumbawanga iliyokuwa ikisomwa kwake na Mwenyekiti wa umoja huo Ndugu Willington Kiziba Ndyetabura (Kulia). Katika risala hiyo yalikuwepo malalamiko mbalimbali ikiwemo ya matumizi ya mashine za EFD ambapo ni pamoja na gharama kubwa za mataengenezo, Ada ya ukaguzi wa majanga ya moto(Fire), Kupanda mara mbili kwa kodi ya mapato kwa wafanyabiashara wadogo na Ulinzi na Usalama kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Walioshindwa kulipa kodi hadharani

MAKAMPUNI 15 yaliyokwepa kodi baada ya kutorosha makontena yao, yamejisalimisha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), lakini yameshindwa kulipa kodi ndani ya siku saba za msamaha wa Rais John Magufuli.

 

10 years ago

Mwananchi

Wachimbaji wadogo kuanza kulipa kodi

Mamlaka ya Mapato Mkoa wa Mbeya, imewataka wachimbaji wadogo wa dhahabu kuanza kulipa kodi Serikalini.

 

9 years ago

Habarileo

Wachimbaji tanzanite washauriwa kulipa kodi

MBUNGE wa Simanjiro mkoani Manyara, James ole Millya (Chadema), amesema ipo haja ya kutunga sheria ndogo itakayowabana wachimbaji wakubwa na wadogo wa tanzanite katika machimbo ya Mererani wilayani humo, walipe kodi na tozo mbalimbali za halmashauri. Millya alisema ni vyema sasa kuangalia upya sheria zilizopo na kufanya marekebisho kwa kutunga sheria ndogo ili kuwabana wachimbaji na kampuni ya uwekezaji waweze kulipa tozo na kodi za halmashauri, vinginevyo mwisho wa siku wataachiwa mashimo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani