TRA na JWT waanza kupitia mfumo wa kodi
Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wameanza kazi ya mapitio ya kuboresha mfumo mzima wa kodi ili uendane na matumizi ya mashine za kielektroniki (EFD).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Vigogo escrow waanza kulipa kodi ya TRA
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…
Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa kutoka kwa […]
The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...
10 years ago
Mwananchi22 Nov
TRA yalia na misamaha ya kodi
9 years ago
Mwananchi07 Dec
TRA yaibana Bakwata msamaha wa kodi
9 years ago
Habarileo07 Jan
Makusanya ya kodi TRA yafikia trilioni 1.4/
MAMLAKA ya Mapato (TRA) imeshakusanya Sh bilioni 11.9 kutoka kwa wafanyabiashara waliokuwa wamekwepa kulipa kodi. Kiasi hicho ni sehemu ya Sh bilioni 80 zinazotakiwa kukusanywa kutoka kwa wafanyabiashara hao wanaodaiwa waliondosha kontena katika bandari za nchi kavu kinyume cha taratibu za forodha.
10 years ago
Habarileo08 Dec
TRA: Tutawatupa jela wakwepa kodi
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA), Rished Bade amesema hakuna mtu aliye juu ya sheria ya ulipaji kodi halali, hivyo asiyetaka kulipa kodi kwa makusudi lazima atakutana na mkono wa sheria na kutupwa jela.
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Kodi ya TRA yazua kizaazaa Bakwata
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MUFTI na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakari Zuberi, ameunda timu ya uchunguzi ambayo itapitia upya mikataba yote mibovu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata).
Pamoja na hali hiyo pia ametangaza kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Utawala wa Bakwata, Makao Makuu, Karim Majaliwa kupisha uchunguzi juu ya kadhia ya magari 82 na tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi.
Taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Mufti Zuberi ilieleza...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Polisi, TRA wavutana wakwepaji wa kodi
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Wakosoa mfumo wa ukusanyaji kodi