Makusanya ya kodi TRA yafikia trilioni 1.4/
MAMLAKA ya Mapato (TRA) imeshakusanya Sh bilioni 11.9 kutoka kwa wafanyabiashara waliokuwa wamekwepa kulipa kodi. Kiasi hicho ni sehemu ya Sh bilioni 80 zinazotakiwa kukusanywa kutoka kwa wafanyabiashara hao wanaodaiwa waliondosha kontena katika bandari za nchi kavu kinyume cha taratibu za forodha.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…
Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa kutoka kwa […]
The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...
11 years ago
Mwananchi13 May
Tanzania yapoteza Sh3 trilioni za kodi
9 years ago
Mwananchi21 Sep
TRA kukusanya Sh12.3 trilioni mwaka huu
10 years ago
Mwananchi21 Nov
TRA yakusanya Sh10 trilioni kila mwaka
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YALWkr4Dcj4/Voz4Sy1SuBI/AAAAAAADEjs/mxfOoZTw-rI/s72-c/PIX%2B1.jpg)
TRA YAVUKA LENGO YAKUSANYA TRILIONI 1.4 KWA MWEZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-YALWkr4Dcj4/Voz4Sy1SuBI/AAAAAAADEjs/mxfOoZTw-rI/s640/PIX%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0NqQKW38V3w/Voz4TccnILI/AAAAAAADEjo/SGkouMnkwvo/s640/PIX%2B2.jpg)
9 years ago
Global Publishers06 Jan
TRA yavuka lengo la kusanya Trilioni 1.4 kwa mwezi
Kaimu Kamishna Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA, Alphayo Kidata.
Jumla ya shilingi trilioni 1.4 imekusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika kipindi cha mwezi Desemba mwaka uliopita wa 2015.
Kiasi hicho ni sawa na ongezeko la wastani wa shilingi bilioni 490 kwa mwezi ukulinganisha na wastani wa makusanyo ya kuanzia Julai hadi Novemba ambapo ,TRA ilikuwa imekusanya wastani wa shilingi bilioni 900 kwa mwezi.
Takwimu hizo zimetolewa leo jijini Dar es salaam na Kaimu Kamishna Mamlaka ya...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Rais Magufuli Aipongeza TRA Kukusanya Trilioni 1.3 kwa Mwezi Mmoja
Rais Dkt John Pombe Magufuli.
Rais Magufuli amempongeza Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Dkt. Philip Mpango kwa kazi nzuri ya ukusanyaji wa mapato inayofanywa na mamlaka hiyo ambayo imeongeza ukusanyaji wa Mapato na kwa mara ya kwanza mwezi huu ukusanyaji wa mapato hayo unatarajiwa kuwa zaidi ya shilingi trilioni 1.3
Kutokana na mafanikio hayo amewahakikishia watanzania kuwa fedha kwa ajili ya kutimiza ahadi ya kutoa elimu bure kwa shule za msingi na sekondari ambazo ni...
10 years ago
Mwananchi22 Nov
TRA yalia na misamaha ya kodi
9 years ago
Mwananchi07 Dec
TRA yaibana Bakwata msamaha wa kodi