TRA yakusanya Sh10 trilioni kila mwaka
>Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imesema inakusanya Sh10 trilioni ikiwa ni makusanyo ya kodi kila mwaka tangu mwaka 2001.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YALWkr4Dcj4/Voz4Sy1SuBI/AAAAAAADEjs/mxfOoZTw-rI/s72-c/PIX%2B1.jpg)
TRA YAVUKA LENGO YAKUSANYA TRILIONI 1.4 KWA MWEZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-YALWkr4Dcj4/Voz4Sy1SuBI/AAAAAAADEjs/mxfOoZTw-rI/s640/PIX%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0NqQKW38V3w/Voz4TccnILI/AAAAAAADEjo/SGkouMnkwvo/s640/PIX%2B2.jpg)
9 years ago
Mwananchi21 Sep
TRA kukusanya Sh12.3 trilioni mwaka huu
10 years ago
Vijimambo30 Apr
Bajeti ya mwaka 2015/16 ni ya kula. Ni Shilingi trilioni 22.5, Za maendeleo trilioni 5 tu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mkuya-30April2015(1).jpg)
Serikali imetangaza sura ya bajeti ya mwaka 2015/16, ikiwa imejielekeza zaidi katika matumizi ya kawaida ya safari, posho za viongozi na matumizi mengine kuliko miradi ya maendeleo inayogusa maisha ya Watanzani moja kwa moja.
Bajeti ya mwaka ujao inatarajiwa kuwa Sh. Trilioni 22.480, kwa matumizi ya kawaida na maendeleo.
Makadirio hayo ni ongezeko la asilimia 13.2 ya bajeti ya mwaka 2014/15 ambayo ilikuwa ni Sh. Trilioni 19.853.
Waziri wa Fedha, Saada Salum...
9 years ago
Habarileo07 Jan
Makusanya ya kodi TRA yafikia trilioni 1.4/
MAMLAKA ya Mapato (TRA) imeshakusanya Sh bilioni 11.9 kutoka kwa wafanyabiashara waliokuwa wamekwepa kulipa kodi. Kiasi hicho ni sehemu ya Sh bilioni 80 zinazotakiwa kukusanywa kutoka kwa wafanyabiashara hao wanaodaiwa waliondosha kontena katika bandari za nchi kavu kinyume cha taratibu za forodha.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R_vGc-QsXzs/VSfYsyMbBrI/AAAAAAAHQIA/-wV8LBPhP90/s72-c/unnamedM.jpg)
TRA YAKUSANYA ZAIDI YA SH.BILIONI 258 KWA FAINI NA KODI ZA BIDHAA ZA MAGENDO
MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA), kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita imekusanya zaidi ya Sh. Bilioni 258 zilizotokana na faini ya bidhaa mbalimbali za magendo.
Hayo ameyasema leo Mkurugenzi huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es salaam,amesema TRA inaungana na jeshi la Polisi katika kukamata watu wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa ...
9 years ago
Global Publishers06 Jan
TRA yavuka lengo la kusanya Trilioni 1.4 kwa mwezi
Kaimu Kamishna Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA, Alphayo Kidata.
Jumla ya shilingi trilioni 1.4 imekusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika kipindi cha mwezi Desemba mwaka uliopita wa 2015.
Kiasi hicho ni sawa na ongezeko la wastani wa shilingi bilioni 490 kwa mwezi ukulinganisha na wastani wa makusanyo ya kuanzia Julai hadi Novemba ambapo ,TRA ilikuwa imekusanya wastani wa shilingi bilioni 900 kwa mwezi.
Takwimu hizo zimetolewa leo jijini Dar es salaam na Kaimu Kamishna Mamlaka ya...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Rais Magufuli Aipongeza TRA Kukusanya Trilioni 1.3 kwa Mwezi Mmoja
Rais Dkt John Pombe Magufuli.
Rais Magufuli amempongeza Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Dkt. Philip Mpango kwa kazi nzuri ya ukusanyaji wa mapato inayofanywa na mamlaka hiyo ambayo imeongeza ukusanyaji wa Mapato na kwa mara ya kwanza mwezi huu ukusanyaji wa mapato hayo unatarajiwa kuwa zaidi ya shilingi trilioni 1.3
Kutokana na mafanikio hayo amewahakikishia watanzania kuwa fedha kwa ajili ya kutimiza ahadi ya kutoa elimu bure kwa shule za msingi na sekondari ambazo ni...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-i6WktlU3_Js/UzjlSE0JUKI/AAAAAAABDi4/WOU-mw8Bf-I/s72-c/3.jpg)
BIG RESULTS NOW' YAKUSANYA MABILIONI KWA KIPINDI CHA NUSU MWAKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-i6WktlU3_Js/UzjlSE0JUKI/AAAAAAABDi4/WOU-mw8Bf-I/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WZsVEtkgtvk/UzjlTaICT7I/AAAAAAABDjA/NV_MOcjzvUQ/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w7c7CZMySrw/UzjlUfUSkWI/AAAAAAABDjI/2pOuQ9TYIfM/s1600/6.jpg)