Bajeti ya mwaka 2015/16 ni ya kula. Ni Shilingi trilioni 22.5, Za maendeleo trilioni 5 tu.
Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya
Serikali imetangaza sura ya bajeti ya mwaka 2015/16, ikiwa imejielekeza zaidi katika matumizi ya kawaida ya safari, posho za viongozi na matumizi mengine kuliko miradi ya maendeleo inayogusa maisha ya Watanzani moja kwa moja.
Bajeti ya mwaka ujao inatarajiwa kuwa Sh. Trilioni 22.480, kwa matumizi ya kawaida na maendeleo.
Makadirio hayo ni ongezeko la asilimia 13.2 ya bajeti ya mwaka 2014/15 ambayo ilikuwa ni Sh. Trilioni 19.853.
Waziri wa Fedha, Saada Salum...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 May
Waziri wa Fedha: Bajeti ya mwaka 2014/2015 ni Sh19.6 trilioni
9 years ago
VijimamboPATO LA TAIFA ROBO YA KWANZA YA MWAKA 2015 LAFIKIA SHILINGI TRILIONI 21.9
11 years ago
Habarileo01 May
Bajeti Shilingi trilioni 19.7
SERIKALI imepanga kutumia Sh trilioni 19. 7 katika mwaka wa fedha 2014/2015, kwa ajili ya matumizi ya kawaida na maendeleo, tofauti na Sh trilioni 18.2 ya mwaka huu wa fedha unaoishia Juni 30.
5 years ago
MichuziBenki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB yaipatia Tanzania Mkopo wa Masharti Nafuu kiasi cha shilingi trilioni 1.14
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MYxE5erONNI/VO8kY7uIGhI/AAAAAAAHGC0/-LvtUnxdJKg/s72-c/unnamedM.jpg)
PATO LA TAIFA LAONGEZEKA, LAFIKIA SHILINGI TRILIONI 21.2.
![](http://2.bp.blogspot.com/-MYxE5erONNI/VO8kY7uIGhI/AAAAAAAHGC0/-LvtUnxdJKg/s1600/unnamedM.jpg)
Aron Msigwa –MAELEZO.
Pato la Taifa (GDP) katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka 2014 limeongezeka hadi kufikia...
5 years ago
MichuziWAZIRI MPANGO AWASILISHA BAJETI YA SH.TRILIONI 34.88
*Ni bajeti yenye kujali Watanzania wanyonge, yatoa mwanga wa maendeleo ya nchi yetu.Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
NI bajeti ya kumjali Mtanzania na kuleta maendeleo kwa Watanzania wote.Hivyo ndivyo unavyoweza kuieleza Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2020/2021 yenye jumla ya Sh.trilioni 34.88 .
Bajeti hiyo ambayo imewasilishwa leo...
5 years ago
MichuziWAZIRI MPANGO AWASILISHA BAJETI YA SH.TRILIONI 34.44
*Ni bajeti yenye kujali Watanzania wanyonge, yatoa mwanga wa maendeleo ya nchi yetu.
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
NI bajeti ya kumjali Mtanzania na kuleta maendeleo kwa Watanzania wote.Hivyo ndivyo unavyoweza kuieleza Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2020/2021 yenye jumla ya Sh.trilioni 34.88 .
Bajeti hiyo ambayo imewasilishwa leo Juni...
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Bajeti ya Sh23 trilioni yawakumbuka wafanyakazi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT1UngaSaklNUUPvR2ZCiyHH3zjfAeWFEyyYWiIsg5*xeczjkC53egh1DB6arZ-tS8OpVYQbPerz5Vfk*vbNBRgM/NBS2.jpg)
PATO LA TAIFA LAONGEZEKA, LAFIKIA SHILINGI TRILIONI 21.2.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10