Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi, TRA wavutana wakwepaji wa kodi

Sakata la wafanyabiashara haramu wa viroba Mkoa wa Kagera limeingia kwenye sura mpya, baada ya polisi mkoani hapa kudai kuwa watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), wanashirikiana na wafanyabiashara wa pombe hizo kukwepa kodi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wamiliki wa viwanja Moshi wahaha kuviuza, wavutana kodi na TRA

Wamiliki wa viwanja katika mji wa Moshi waliokuwa wamevihodhi kwa miaka mingi bila kuviendeleza, wameanza kuviuza kwa kasi baada ya Serikali kuanza mchakato wa kuvitwaa.

 

9 years ago

StarTV

Rais Magufuli atoa siku saba kwa wafanyabiashara wakwepaji kodi

Rais John Magufuli ametoa siku saba kwa wafanyabiashara waliokuwa wamekwepa kulipa kodi kwa namna yoyote ile kuhakikisha wamelipa malimbikizo yao ndani ya siku hizo badala ya kuendelea kuficha makontena.

Amesema baada ya siku hizo saba kuisha, wafanyabiashara watakaokamatwa hawajalipa kodi kwa mujibu wa taratibu watachukuliwa hatua za kisheria ili kukomesha vitendo hivyo kwa manufaa ya Taifa.

 Rais wa awamu ya Tano, Dkt John Magufuli ametoa wito kwa wafanyabiashara kutoka sekta binafsi na...

 

9 years ago

MillardAyo

Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…

Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa  kutoka kwa […]

The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi, Ukawa wavutana Zanzibar

Jeshi la Polisi limepiga marufuku kufanyika kwa mkutano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi(Ukawa) uliotarajiwa kufanyika leo mjini Zanzibar kwa madai ya kiusalama.

 

10 years ago

Mwananchi

TRA yalia na misamaha ya kodi

>Misamaha ya kodi imekuwa ikilikosesha taifa zaidi ya Sh100 bilioni kwa mwezi, hatua ambayo Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) inaona ni kikwazo katika kufikia malengo ya ukusanyaji kodi.

 

10 years ago

Habarileo

TRA: Tutawatupa jela wakwepa kodi

KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA), Rished Bade amesema hakuna mtu aliye juu ya sheria ya ulipaji kodi halali, hivyo asiyetaka kulipa kodi kwa makusudi lazima atakutana na mkono wa sheria na kutupwa jela.

 

9 years ago

Mtanzania

Kodi ya TRA yazua kizaazaa Bakwata

Sheikh-Abubakar-Zuberi-bin-AllyNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MUFTI na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakari Zuberi, ameunda timu ya uchunguzi ambayo itapitia upya mikataba yote mibovu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata).

Pamoja na hali hiyo pia ametangaza kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Utawala wa Bakwata, Makao Makuu,  Karim Majaliwa   kupisha uchunguzi juu ya kadhia ya magari 82  na tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi.

Taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Mufti Zuberi ilieleza...

 

9 years ago

Mwananchi

TRA yaibana Bakwata msamaha wa kodi

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa masharti matano kwa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), yanayotakiwa kutekelezwa kabla kupewa msamaha wa kodi kwa gari aina ya Iveco ulioombwa.     

 

9 years ago

Habarileo

Makusanya ya kodi TRA yafikia trilioni 1.4/

MAMLAKA ya Mapato (TRA) imeshakusanya Sh bilioni 11.9 kutoka kwa wafanyabiashara waliokuwa wamekwepa kulipa kodi. Kiasi hicho ni sehemu ya Sh bilioni 80 zinazotakiwa kukusanywa kutoka kwa wafanyabiashara hao wanaodaiwa waliondosha kontena katika bandari za nchi kavu kinyume cha taratibu za forodha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani