Kova awachimba mkwara wahalifu
NA FURAHA OMARYPOLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imewatangazia kiama wahalifu, ambapo imeamua kuwasaka kwa kutumia helkopta, baada ya kupata taarifa kwamba wamekimbilia mpakani mwa mkoa huo na wa Pwani.
“Tunaendelea na operesheni kali dhidi ya wahalifu, kwani tumepata taarifa kwamba kuna wahalifu wamekimbilia mpakani mwa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani,” alisema Kamishna wa Kanda hiyo, Suleiman Kova.
Kamishna Kova aliyasema hayo mjini Dar es Salaam, alipozungumza na Uhuru kuhusiana na...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Mkwara wa Gwajima kwa Kova wazaa matunda
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Sitta achimba mkwara
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amewaonya wajumbe wanaozungumza hovyo bungeni bila idhini ya kiti akisema wataingia kwenye matatizo bure. Sitta alitoa angalizo hilo bungeni jana alipokuwa akitoa...
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
ALAT yachimba mkwara
JUMUIYA ya Tawala za Mitaa Tanzania (Alat) imesema itahakikisha hoja ya msingi ya kujitawala na kushiriki katika utawala wa nchi inaingizwa katika Katiba mpya na iwapo suala hilo litashindikana hawatashiriki...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DuwM4HxIS7Y/VK2jAsW4t3I/AAAAAAAG758/_0UM0QwaVqc/s72-c/IMG-20150108-WA0008.jpg)
9 years ago
Habarileo25 Oct
Bossou achimba mkwara
BEKI wa Yanga raia wa Togo, Vicent Bossou amesema mechi moja aliyoichezea klabu yake ya Yanga imemsaidia kujua ushindani uliopo kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara inayoendelea kwa sasa.
10 years ago
Mwananchi27 Aug
TFF yachimba mkwara mzito
11 years ago
Mwananchi15 May
Kocha achimba mkwara Stars
11 years ago
Mwananchi18 May
Kamati Simba yachimba Mkwara
9 years ago
Habarileo09 Dec
Azam yaichimba mkwara Simba
KOCHA Mkuu wa timu ya Azam FC, Stewart Hall, amesema kikosi chake kipo tayari kwa mapambano na kwamba kinaweza kuifunga timu yoyote itakayotokea mbele yake. Hall ametoa kauli hiyo zikiwa zimebakia siku chache kabla ya Azam kuvaana na Simba Jumamosi katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara.