Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam yaichimba mkwara Simba

KOCHA Mkuu wa timu ya Azam FC, Stewart Hall, amesema kikosi chake kipo tayari kwa mapambano na kwamba kinaweza kuifunga timu yoyote itakayotokea mbele yake. Hall ametoa kauli hiyo zikiwa zimebakia siku chache kabla ya Azam kuvaana na Simba Jumamosi katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kamati Simba yachimba Mkwara

Wagombea wa uongozi ndani ya klabu ya Simba wametakiwa kuheshimiana kwa kuacha mara moja kutukanana na kupeana kashfa zisizo na msingi.

 

9 years ago

Habarileo

Kipa Simba achimba mkwara Ligi Kuu

KIPA wa kimataifa wa Simba, Vicent Angban, amesema kama ataendelea kupangwa kuidakia timu hiyo kwenye mechi za Ligi Kuu ya Tanzania bara ana uhakika wa kubeba tuzo ya kipa bora msimu huu kwa kua hajaona mshambuliaji wa kumhofia.

 

10 years ago

Michuzi

Simba yaifunga Azam FC 2-1

 Mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano 'Messi" akishangilia kwa staili ya aina yake baada ya kuipatia timu yake bao la pili.
Beki wa Azam FC, Agrey Moris akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.  Raha ya ushindi. 
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

9 years ago

Mtanzania

Azam yaitisha Simba

IMG_4080NA ZAINAB IDDY

TIMU ya Azam FC imewatangazia hali ya hatari Simba katika mechi yao ya Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayochezwa Desemba 12 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Azam imetamba kuinyuka Simba katika mchezo huo, ambapo hadi sasa vinara hao wa ligi kuu wamefikisha pointi 25, wapinzani wao hao wakishika nafasi ya nne wakiwa na pointi 21 katika mechi tisa walizocheza kila mmoja.

Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi, Ofisa Habari wa Azam, Jaffar Idd, alisema maandalizi yao kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Azam wafuata makali ya Simba

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Azam FC wanaondoka kesho Jumatano kwenda Tanga kwa ajili ya kusaka makali ya kuiua Simba. Azam inatarajia kucheza na wekundu hao wa Msimbazi Desemba 12, mwaka huu katika mchezo wa ligi utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Azam kamili kuikabili Simba

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC imerejea salama jijini Dar es Salaam juzi na jana waliingia kambini mchana kujiwinda na mchezo wake ujao wa Ligi Kuu dhidi ya Simba utakaochezwa Desemba 12, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam, City zapeta, Simba mh!

Dar es Salaam. Azam na, Mtibwa zimeendelea kung’ara katika  Ligi Kuu Tanzania Bara, wakati Simba ikisuasua baada ya kulazimishwa sare ya goli 1-1 na Polisi Morogoro jana.Azam imepanda kileleni mwa ligi baada ya kuichapa Ruvu

 

9 years ago

Habarileo

Azam kamili kuivaa Simba

WACHEZAJI wa Azam FC wamesema mafunzo wanayopewa katika kambi yao ya Tanga yanatosha kuwamaliza wapinzani wao Simba Jumamosi wiki ijayo.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba pile pressure on Azam

Simba SC boosted their hopes of finishing second in the Vodacom Premier League yesterday after recording a hard-fought 2-1 victory over 10-man Azam FC at the National Stadium.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani