Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam wafuata makali ya Simba

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Azam FC wanaondoka kesho Jumatano kwenda Tanga kwa ajili ya kusaka makali ya kuiua Simba. Azam inatarajia kucheza na wekundu hao wa Msimbazi Desemba 12, mwaka huu katika mchezo wa ligi utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba, Azam FC zasaka makali ufukweni

Simba na Azam zimegongana ufukweni katika mazoezi yao ya kuweka sawa miili yao kabla ya mashindano mbalimbali yanayozikabili ikiwamo Kombe la Kagame na Ligi Kuu.

 

9 years ago

Habarileo

Azam yaitafutia makali Yanga

MABINGWA wa Kombe la Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kagame Cup, Azam leo wanashuka dimbani kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar kuchuana na Mafunzo katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga utakaochezwa mwishoni mwa wiki ijayo.

 

10 years ago

Habarileo

Azam kuongeza makali Zanzibar

MABINGWA wa Kombe la Kagame, Azam FC itaondoka Jumapili kwenda kisiwani Zanzibar kuweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara inayotazamia kuanza Septemba 12.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam kuanza kusaka makali ya Ligi Kuu Jumatatu

KIKOSI cha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC, kinatarajiwa kuanza mazoezi kesho kuelekea msimu ujao ambapo itakuwa ikitetea taji hilo na kuiwakilisha nchi katika Ligi ya Mabingwa Afrika....

 

10 years ago

Mwananchi

Simba kunoa makali mbele ya Orlando Pirates Sauzi leo

Simba inashuka uwanjani kuikabili Orlando Pirates ya Afrika Kusini ukiwa ni mchezo wa maandalizi ya mechi yao dhidi ya Yanga inayatarajiwa kufanyika Oktoba 18 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafuata huduma za afya kilomita tisa

WANANCHI wa Kijiji cha Chonde, Kata ya Makanda, Tarafa ya Mundemu, Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma, wanalazimika kufuata huduma za afya umbali wa kilomita tisa, kutokana na kijiji chao kutokuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtwara waiacha Korosho, wafuata bei nono ya ufuta

Limekuwa ni jambo la kawaida sasa kwamba kati ya Novemba na Mei, mamia ya wakulima katika Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara huyaacha makazi yao na kwenda kuishi mkoani Lindi kwa ajili kuendesha kilimo cha ufuta.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM, Ukawa wafuata kura milioni 2.8 Mbeya, Mwanza

Siku saba kabla ya uchaguzi, wagombea urais wa Chadema, Edward Lowassa na Dk John Magufuli (CCM) wameanza kuziwinda kura 2,846,537 katika mikoa ya Mwanza na Mbeya ili kuhakikisha zinatosha kuwaingiza Ikulu.

 

10 years ago

Michuzi

Simba yaifunga Azam FC 2-1

 Mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano 'Messi" akishangilia kwa staili ya aina yake baada ya kuipatia timu yake bao la pili.
Beki wa Azam FC, Agrey Moris akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.  Raha ya ushindi. 
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani