Azam wafuata makali ya Simba
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Azam FC wanaondoka kesho Jumatano kwenda Tanga kwa ajili ya kusaka makali ya kuiua Simba. Azam inatarajia kucheza na wekundu hao wa Msimbazi Desemba 12, mwaka huu katika mchezo wa ligi utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Yanga, Simba, Azam FC zasaka makali ufukweni
9 years ago
Habarileo15 Aug
Azam yaitafutia makali Yanga
MABINGWA wa Kombe la Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kagame Cup, Azam leo wanashuka dimbani kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar kuchuana na Mafunzo katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga utakaochezwa mwishoni mwa wiki ijayo.
10 years ago
Habarileo04 Aug
Azam kuongeza makali Zanzibar
MABINGWA wa Kombe la Kagame, Azam FC itaondoka Jumapili kwenda kisiwani Zanzibar kuweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara inayotazamia kuanza Septemba 12.
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Azam kuanza kusaka makali ya Ligi Kuu Jumatatu
KIKOSI cha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC, kinatarajiwa kuanza mazoezi kesho kuelekea msimu ujao ambapo itakuwa ikitetea taji hilo na kuiwakilisha nchi katika Ligi ya Mabingwa Afrika....
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Simba kunoa makali mbele ya Orlando Pirates Sauzi leo
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Wafuata huduma za afya kilomita tisa
WANANCHI wa Kijiji cha Chonde, Kata ya Makanda, Tarafa ya Mundemu, Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma, wanalazimika kufuata huduma za afya umbali wa kilomita tisa, kutokana na kijiji chao kutokuwa...
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Mtwara waiacha Korosho, wafuata bei nono ya ufuta
9 years ago
Mwananchi18 Oct
CCM, Ukawa wafuata kura milioni 2.8 Mbeya, Mwanza
10 years ago
MichuziSimba yaifunga Azam FC 2-1
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA