Simba pile pressure on Azam
Simba SC boosted their hopes of finishing second in the Vodacom Premier League yesterday after recording a hard-fought 2-1 victory over 10-man Azam FC at the National Stadium.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen29 Jun
MPs pile pressure on govt over withdrawal of $112m
10 years ago
MichuziSimba yaifunga Azam FC 2-1
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Azam yaitisha Simba
NA ZAINAB IDDY
TIMU ya Azam FC imewatangazia hali ya hatari Simba katika mechi yao ya Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayochezwa Desemba 12 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Azam imetamba kuinyuka Simba katika mchezo huo, ambapo hadi sasa vinara hao wa ligi kuu wamefikisha pointi 25, wapinzani wao hao wakishika nafasi ya nne wakiwa na pointi 21 katika mechi tisa walizocheza kila mmoja.
Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi, Ofisa Habari wa Azam, Jaffar Idd, alisema maandalizi yao kwa...
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Yanga,Simba,Azam zapeta
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Azam yapaa, Simba aibu
9 years ago
Mtanzania19 Dec
Vita ya Yanga, Azam, Simba
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
TIMU za Yanga, Azam na Simba, leo zinaingia kibaruani kwa mara nyingine katika viwanja tofauti katika raundi ya 12 ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
Mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Yanga, wao watakuwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kuwakabili Stand United ya Shinyanga.
Yanga, wanaoongoza ligi hiyo wakiwa na pointi 27 baada ya kucheza mechi 11, wanashuka dimbani wakitokea mkoani Tanga, ambako wamecheza mechi mbili baina ya Mgambo Shooting na Africans Sports,...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Yanga, Azam, Simba usipime
9 years ago
Habarileo09 Dec
Azam yaichimba mkwara Simba
KOCHA Mkuu wa timu ya Azam FC, Stewart Hall, amesema kikosi chake kipo tayari kwa mapambano na kwamba kinaweza kuifunga timu yoyote itakayotokea mbele yake. Hall ametoa kauli hiyo zikiwa zimebakia siku chache kabla ya Azam kuvaana na Simba Jumamosi katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara.
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Azam, Simba kazi ipo