Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamati Simba yachimba Mkwara

Wagombea wa uongozi ndani ya klabu ya Simba wametakiwa kuheshimiana kwa kuacha mara moja kutukanana na kupeana kashfa zisizo na msingi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

ALAT yachimba mkwara

JUMUIYA ya Tawala za Mitaa Tanzania (Alat) imesema itahakikisha hoja ya msingi ya kujitawala na kushiriki katika utawala wa nchi inaingizwa katika Katiba mpya na iwapo suala hilo litashindikana hawatashiriki...

 

9 years ago

Habarileo

Toto Africans yachimba mkwara

KOCHA Msaidizi wa Toto Africans, John Tegete amesema timu hiyo haitakuwa kivuli cha klabu yoyote ile kwenye Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara.

 

10 years ago

Mwananchi

TFF yachimba mkwara mzito

Wakati pazia la usajili likifungwa leo, Bodi ya Ligi kwa kushirikiana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesisitiza kuwafungia wote watakaohusika na vitendo vya rushwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yachimba mkwara nyota wake

Uongozi wa Yanga umetema ‘cheche’ kwa wachezaji wenye nidhamu mbovu kuwa watakumbana na adhabu kali ikiwezekana zaidi ya ile aliyopewa kiungo wao, Athuman Idd Chuji.

 

9 years ago

Habarileo

Azam yaichimba mkwara Simba

KOCHA Mkuu wa timu ya Azam FC, Stewart Hall, amesema kikosi chake kipo tayari kwa mapambano na kwamba kinaweza kuifunga timu yoyote itakayotokea mbele yake. Hall ametoa kauli hiyo zikiwa zimebakia siku chache kabla ya Azam kuvaana na Simba Jumamosi katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara.

 

9 years ago

Habarileo

Kipa Simba achimba mkwara Ligi Kuu

KIPA wa kimataifa wa Simba, Vicent Angban, amesema kama ataendelea kupangwa kuidakia timu hiyo kwenye mechi za Ligi Kuu ya Tanzania bara ana uhakika wa kubeba tuzo ya kipa bora msimu huu kwa kua hajaona mshambuliaji wa kumhofia.

 

10 years ago

Mwananchi

Aveva kufumua Kamati ya Mashindano Simba

Rais wa klabu ya Simba, Evans Aveva anatarajiwa kufanya mabadiliko ya Kamati ya Mashindano muda wowote kuanzia sasa hasa nafasi za wajumbe baada ya kushauriwa kutokana na utendaji wao wa kazi kutoridhisha.

 

10 years ago

Michuzi

MJUMBE wa kamati ya utendaji ya Simba apandishwa kizimbani

MJUMBE wa kamati ya utendaji ya Simba, Musleh Al Rawah amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijin Dar es salaam leo kwa shtaka la kumjeruhi mtoto wa mwenyekiti  wa Yanga, Yusuph Manji.
 Akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali, Genis Tesha alidai kuwa Al  Rawah alifanya kosa hilo, Machi 8, 2015 kwenye Uwanja wa Taifa uliopo Chang'ombe .
Tesha alidai kuwa siku hiyo ya tukio, mshtakiwa Al Rawah alimpiga teke Meheub Manji na katika sehemu nyingine mbalimbali za mwili...

 

5 years ago

Bongo5

Simba yaendelea kubaki na pointi ilizopewa na kamati ya saa 72

Kamati ya katiba, Sheria na hadhi za wachezaji ya shirikisho la soka Tanzania (TFF) limemaliza kikao chake na klabu ya Simba usiku wa kuamkia leo na kuazimia Simba inaendelea kubaki na pointi ilizopewa na Kagera Sugar.


Katibu Mkuu wa TFF, Selestine Mwesigwa (kulia) akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuahirisha kikao.

Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Celestine, amesema kamati hiyo itakaa tena na pamoja na mashahidi wengine kuhojiwa. “Kuna watu wanatakiwa kuhojiwa, na kamati itakaa wiki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani