Mwanri amtwanga mkwara mzito Mkurugenzi Maswa
NAIBU Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Aggrey Mwanri amempa siku 30 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu kuhakikisha wazee wanaostahili kupewa matibabu bure wanaorodheshwa haraka.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Aug
TFF yachimba mkwara mzito
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Sitta aanza kwa mkwara mzito
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Madiwani Maswa wamjia juu mkurugenzi
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Mkoa wa Simiyu, wamemjia juu mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Hilda Lauwo, wakimtaka atoe maelezo ni kwa nini anashindwa kuwaalika waandishi wa habari hasa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Maswa wataka Pinda amtimue mkurugenzi
WANANCHI wilayani Maswa, Simiyu, wamemtaka Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kumwondoa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Hilda Lauwo, kwa madai hana uwezo wa kuongoza halmashauri hiyo. Wananchi wamefikia...
10 years ago
GPL
AMTWANGA MKEWE AKIDAI AMEMFUMANIA
11 years ago
Dewji Blog05 Jul
Cheka mbaroni, amtwanga mtu baa
Bingwa wa ngumi za kulipwa duniani, Francis Cheka ‘SMG’ akiwa amebebwa na mashabiki wake.(Picha na Maktaba).
Na Mwandishi wetu
Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia bingwa wa ngumi za kulipwa duniani, Francis Cheka ‘SMG’ kwa tuhuma za kumchapa Meneja wa baa ya Vijana Social Hall iliyopo Kata ya Sabasaba, Manispaa ya Morogoro.
Kwa mujibu wa maelezo ya meneja huyo, Bahati Kabanda ‘Masika’ (39), Cheka alifika katika baa hiyo majira ya jioni na kuanza kumtukana na kumshambulia kwa...
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Cheka amtwanga Mthailand, kuzichapa na Muiran
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka, juzi aliibuka kidedea kwa kumtwanga Mthailand, Kiatchai Singwancha kwa TKO (Technical Knock Out) raundi ya nane.
Mara baada ya ushindi huo, Cheka atapanda tena ulingoni mwishoni mwa Julai mwaka huu kupambana na Sajjad Mehrabi raia wa Iran.
Katika pambao hilo la raundi 10 (Kg 79) lililofanyika kwenye Ukumbi wa PTA Sabasaba, Cheka alimdhibiti mpinzani wake huyo ambaye aliumia mkono raundi ya nane na kushindwa...
11 years ago
Vijimambo
MAKONDA AMTWANGA CHUPA WARIOBA LIVE BILA CHENGA




Kwa upande wake Gwiji La masuala ya habari nchini na Mhariri wa Gazeti la...
9 years ago
Habarileo05 Dec
Mfanyabiashara achinjwa Maswa
MFANYABIASHARA mmoja, Robert Dwese (43), mkazi wa Biafra Maswa Mjini ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni na usoni na kufa papo hapo.