Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cheka mbaroni, amtwanga mtu baa

9

Bingwa wa ngumi za kulipwa duniani, Francis Cheka ‘SMG’ akiwa  amebebwa na mashabiki wake.(Picha na Maktaba).

Na Mwandishi wetu

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia bingwa wa ngumi za kulipwa duniani, Francis Cheka ‘SMG’ kwa tuhuma za kumchapa Meneja wa baa ya Vijana Social Hall iliyopo Kata ya Sabasaba, Manispaa ya Morogoro.

Kwa mujibu wa maelezo ya meneja huyo, Bahati Kabanda ‘Masika’ (39), Cheka alifika katika baa hiyo majira ya jioni na kuanza kumtukana na kumshambulia kwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Cheka mbaroni, ampiga mtu baa

JESHI la Polisi mkoani hapa linamshikilia bingwa wa ngumi za kulipwa duniani, Francis Cheka ‘SMG’ kwa tuhuma za kumchapa Meneja wa baa ya Vijana Social Hall iliyopo Kata ya Sabasaba,...

 

10 years ago

Mtanzania

Cheka amtwanga Mthailand, kuzichapa na Muiran

NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka, juzi aliibuka kidedea kwa kumtwanga Mthailand, Kiatchai Singwancha kwa TKO (Technical Knock Out) raundi ya nane.
Mara baada ya ushindi huo, Cheka atapanda tena ulingoni mwishoni mwa Julai mwaka huu kupambana na Sajjad Mehrabi raia wa Iran.
Katika pambao hilo la raundi 10 (Kg 79) lililofanyika kwenye Ukumbi wa PTA Sabasaba, Cheka alimdhibiti mpinzani wake huyo ambaye aliumia mkono raundi ya nane na kushindwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Hakimu mbaroni kwa kumpiga mtu risasi

Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Maromboso jijini Arusha, Denis Shayo (45) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumjeruhi kwa risasi, Yusufu Mukhtar (37) Mtanzania mwenye asili ya Asia, mkazi wa Majengo Sokoni jijini hapa.

 

9 years ago

StarTV

Mtu Mmoja mbaroni kwa kukutwa na Bastola 1, risasi 9

Polisi mkoani Tanga imemkamata mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Bashiru Hamis maarufu kama Hazari mwenye umri wa miaka 42 mkazi wa Ilala jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na Bastola 1 yenye namba C. 1193 na risasi 9 kwenye magazini.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema mtuhumiwa huyo amekamatwa katika kijiji cha Tengwe wakati akielekea kufanya uhalifu kwenye vituo vya mafuta vilivyopo katika mji wa Mkata wilayani Handeni mkoani Tanga.

Akizungumza na waandishi...

 

10 years ago

Vijimambo

21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza


BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...

 

10 years ago

GPL

AMTWANGA MKEWE AKIDAI AMEMFUMANIA

Na Mwandishi Wetu, Mbeya SHANGAA! Mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina la Tumaini Mwashambo (28), mkazi wa Mtaa wa Half Londan, Kata ya Sogea wilayani Momba, Mbeya amejikuta akipokea kipigo kikali kutoka kwa mumewe, Jamsoni Vicent (34) akidai amemfumania na mtoto wa miaka 16 ‘Serengeti boi’. Tumaini Mwashambo anayedaiwa kupigwa na mumewe. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Jamsoni alisema ni mara ya pili...

 

11 years ago

Habarileo

Mwanri amtwanga mkwara mzito Mkurugenzi Maswa

Aggrey Mwanri NAIBU Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Aggrey Mwanri amempa siku 30 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu kuhakikisha wazee wanaostahili kupewa matibabu bure wanaorodheshwa haraka.

 

10 years ago

Vijimambo

MAKONDA AMTWANGA CHUPA WARIOBA LIVE BILA CHENGA

Polisi na watu wengine wakijaribu kumtuliza jaji Warioba baada ya kupigwa chupa na Makonda kwenye mdahalo wa katiba uliofanyika leo na baadae kuvunjika kutokana na vurugu hizo.
Jaji Wariba akitulizwa na baadhi ya watu na polisi aliyekuwepo hapo kwenye mdahalo wa katiba uliofanyika leo Jumapili Novemba 2, 2014 jijini Dar.
Watu wakipata na mshangao wakijiuliza maswali mengi yasikua na majibuPalikua patashika nguo chanika
Kwa upande wake Gwiji La masuala ya habari nchini na Mhariri wa Gazeti la...

 

10 years ago

Michuzi

BONDIA TWAHA KASSIM WA MOROGORO AMTWANGA KWA KO MUSSA CHITEPETE WA SONGEA

BONDIA TWAHA KASSIM WA MOROGORO AMTWANGA KWA KO, MUSSA CHITEPETE WA SONGEABondia Twaha Kassim wa Morogoro kushoto akipambana na  Mussa Chitepete wa Songea wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki. Kassim alishinda kwa KO ya raundi ya sita 


Bondia Mussa Chitepete wa Songea akiwa chini baada ya kupokea konde zito kutoka kwa Twaha Kassim wa Morogoro wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki. Kassim alishinda kwa KO ya raundi ya 6 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani