BONDIA TWAHA KASSIM WA MOROGORO AMTWANGA KWA KO MUSSA CHITEPETE WA SONGEA
BONDIA TWAHA KASSIM WA MOROGORO AMTWANGA KWA KO, MUSSA CHITEPETE WA SONGEABondia Twaha Kassim wa Morogoro kushoto akipambana na Mussa Chitepete wa Songea wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki. Kassim alishinda kwa KO ya raundi ya sita
Bondia Mussa Chitepete wa Songea akiwa chini baada ya kupokea konde zito kutoka kwa Twaha Kassim wa Morogoro wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki. Kassim alishinda kwa KO ya raundi ya 6
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi25 Dec
SUPER D AMPIGA TAFU YA VIFAA BONDIA MUSSA CHITEPETE WA SONGEA VIFAA
KOCHA wa mchezo wa masumbwi nchini,Rajabu Mhamila 'Super D' kwa kushirikiana na marafiki zake wa kwenye mtandao wa kijamii wa whatsapp wamemkabidhi vifaa bondia Mussa Chitepete wa Songea kwa ajili ya kuhamasisha mchezo wa masumwi nchini
vifaa hivyo vilivyotolewa na super D kwa kushilikiana na mdau mkubwa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mkumba ambaye ndie muhamasishaji mkubwa katika mtandao huo kwa ajili ya kusaidia mabondia
baada ya kukabidhiwa msaada huo bondia Mussa...
10 years ago
Vijimambo25 Dec
KOCHA SUPER D AMPIGA TAFU YA VIFAA BONDIA MUSSA CHITEPETE WA SONGEA VIFAA
Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kwa kushilikiana na marafiki zake wa kwenye mtandao wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nmUkhDRb_a8/XszfHEMQljI/AAAAAAALrkY/3_FP8LmakTEx0iNwnyb9YEGFrDkqq0oZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200427-WA0038.jpg)
UTEUZI; MHANDISI TAMIMU TWAHA ATEULIWA KUWA MKURUGENZI WA MAMLAKA YA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA, MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-nmUkhDRb_a8/XszfHEMQljI/AAAAAAALrkY/3_FP8LmakTEx0iNwnyb9YEGFrDkqq0oZQCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200427-WA0038.jpg)
Taarifa ya Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo imemtaja aliyeteuliwa kuwa ni Mhandisi Tamimu Twaha Katakweba. Aidha, kufuatia uteuzi huu Mhandisi Katakweba anakuwa Katibu wa Bodi ya Wakurugenzi wa MORUWASA.
Uteuzi huu umefanyika chini ya Sheria Namba 5 ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira ya mwaka 2019. Kitengo cha...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ho-oZFTRDeY/VYUbsCdRzKI/AAAAAAAAHJ8/0eC2V3fx76Y/s72-c/11257922_897559980290146_6360377634304609_n.jpg)
BONDIA WA MOROGORO AOMBA PAMBANO LA NGUMI KWA MAPROMOTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ho-oZFTRDeY/VYUbsCdRzKI/AAAAAAAAHJ8/0eC2V3fx76Y/s320/11257922_897559980290146_6360377634304609_n.jpg)
akizungumza na mwandishi wa habari kwa njia ya simu amesema mabondia wa uzito wake wapo wengi ingawa kila siku wanapangiwa wao kwa wao mana unaweza kukuta bondia mmoja kacheza na mtu mmoja mara nne wakati mabondia...
9 years ago
Michuzi03 Jan
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI SONGEA
![e92a2ca8-1b8e-49f8-a0bc-fa4646427e30](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/e92a2ca8-1b8e-49f8-a0bc-fa4646427e30.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary (kushoto kwake ) wakielekea kwenye Chumba cha mapumziko baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea na kupokelewa na wanachi na viongozi wa mkoa huo Januari 3, 2016. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma , Thabiti Mwambungu na kushoto ni Mbunge wa Songea Leonidas Gama. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oJTYyyN45HY/VRXnA1HdS7I/AAAAAAAHNs4/JEAtxzCgJ4A/s72-c/DSCF6974.jpg)
BONDIA MOHAMED MATUMLA AMTANDIKA KWA POINT BONDIA WANG XIN HUA KUTOKA CHINA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oJTYyyN45HY/VRXnA1HdS7I/AAAAAAAHNs4/JEAtxzCgJ4A/s1600/DSCF6974.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z02UqvKGAN8/XkvoKo3A6_I/AAAAAAALd7g/fU55SWm9AuEN8ISIsYzA5R3hin_ALyeFACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Kamishna Dkt Mussa Ali Mussa afungua kikao cha kujadili uhalifu unaovuka mipaka
![](https://1.bp.blogspot.com/-z02UqvKGAN8/XkvoKo3A6_I/AAAAAAALd7g/fU55SWm9AuEN8ISIsYzA5R3hin_ALyeFACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Breaking News: Waziri Mkuu mteule ni Kassim Majaliwa Kassim!
Kassim Majaliwa
Tayari dakika chache zilizopita kutoka ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Dk, John Pombe Magufuli ametuma jina la Waziri Mkuu, ambaye ni Kassim Majaliwa aliyekuwa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
Jina hilo limefikishwa kwa mbwembwe likiwa ndani ya bahasha tatu huku likiwa limeandikwa kwa mkono. Kwa hatua hiyo sasa Bunge limeenda mapumziko na dakika chache kutoka sasa litarejea kwa ajili ya kupigia kura na wabunge...