Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta amchimba mkwara mkewe

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana alimchimba mkwara mkewe Margareth Sitta kuwa angepata tabu san      a kama angekosea kupiga kura.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAMA KANUMBA AMCHIMBA MKWARA SETH

Stori: Hamida Hassan
MAMA wa Marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amemchimba mkwara mzito mdogo wa marehemu, Seth Bosco baada ya kuona amefanya kosa na kuamua kumtishia kuwa atamfuta kwenye Kampuni ya Kanumba The Great. Mama wa Marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa Mama huyo pasipo kuweka wazi moja kwa moja tatizo, alisema kuwa kuna kosa kubwa Seth alilifanya na alishindwa kulivumilia hivyo kumuonya kuwa atamuondoa kwenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Mhudumu wa mochuari ‘amchimba mkwara’ waziri

Mfanyakazi wa Kitengo cha Kuhifadhi Maiti cha Hospitali ya Rufaa ya Mbeya, Eugene Vurugu amemtisha Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid kuwa ikitokea amefariki dunia akiwa mkoani Mbeya, basi maiti yake italazwa kwenye sakafu hospitalini hapo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta achimba mkwara

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amewaonya wajumbe wanaozungumza hovyo bungeni bila idhini ya kiti akisema wataingia kwenye matatizo bure. Sitta alitoa angalizo hilo bungeni jana alipokuwa akitoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta aanza kwa mkwara mzito

Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta ameagiza kukamatwa na kufikishwa mahakamani mara moja kwa watumishi wa uwanja wa ndege ambao dawa za kulevya zitapita wakiwa kwenye zamu.

 

9 years ago

Mtanzania

Ukawa wamponda Sitta kumwachia mkewe jimbo

Samuel-SittaElias Msuya,Tabora

MSAFARA wa mgombea mwenza wa urais kupitia Chadema chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Duni Haji, juzi uliingia katika Jimbo la Urambo mkoani Tabora, huku makada wa umoja huo wakimponda mbunge wa jimbo hilo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta, kwa kumwachia mkewe, Margaret Sitta kugombea jimbo hilo.

Sitta ambaye pia ni Waziri wa Uchukuzi, amekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa muda mrefu, huku mkewe akiwa mbunge wa viti maalumu.

Akizungumza wakati wa...

 

10 years ago

Bongo5

Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!

Rapper wa Marekani, Earl Hayes amemuua mke wake Stephanie Moseley aliyekuwa staa kwenye kipindi cha “Hit the Floor” cha VH1 kwa risasi na yeye kujiua kutokana na wivu wa mapenzi. Stephanie Moseley Hayes alikuwa ameumizwa na uhusiano wa kimapenzi aliokuwa nao mke wake na Trey Songz. Stephanie Moseley aliuawa nyumbani kwao na mume wake huyo […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

ALAT yachimba mkwara

JUMUIYA ya Tawala za Mitaa Tanzania (Alat) imesema itahakikisha hoja ya msingi ya kujitawala na kushiriki katika utawala wa nchi inaingizwa katika Katiba mpya na iwapo suala hilo litashindikana hawatashiriki...

 

9 years ago

Habarileo

Bossou achimba mkwara

BEKI wa Yanga raia wa Togo, Vicent Bossou amesema mechi moja aliyoichezea klabu yake ya Yanga imemsaidia kujua ushindani uliopo kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara inayoendelea kwa sasa.

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani