Sitta amchimba mkwara mkewe
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana alimchimba mkwara mkewe Margareth Sitta kuwa angepata tabu san     a kama angekosea kupiga kura.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRkrR9LhHn05WO-vuRP9wcs7FgLOIJOVag2L5gyhj-UkegWxSpZWSJrb5WX257165KuHSEVc4s1Gqy1Ti1iyMheN/SETH.jpg)
MAMA KANUMBA AMCHIMBA MKWARA SETH
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mhudumu wa mochuari ‘amchimba mkwara’ waziri
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Sitta achimba mkwara
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amewaonya wajumbe wanaozungumza hovyo bungeni bila idhini ya kiti akisema wataingia kwenye matatizo bure. Sitta alitoa angalizo hilo bungeni jana alipokuwa akitoa...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Sitta aanza kwa mkwara mzito
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Ukawa wamponda Sitta kumwachia mkewe jimbo
Elias Msuya,Tabora
MSAFARA wa mgombea mwenza wa urais kupitia Chadema chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Duni Haji, juzi uliingia katika Jimbo la Urambo mkoani Tabora, huku makada wa umoja huo wakimponda mbunge wa jimbo hilo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta, kwa kumwachia mkewe, Margaret Sitta kugombea jimbo hilo.
Sitta ambaye pia ni Waziri wa Uchukuzi, amekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa muda mrefu, huku mkewe akiwa mbunge wa viti maalumu.
Akizungumza wakati wa...
10 years ago
Bongo509 Dec
Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
ALAT yachimba mkwara
JUMUIYA ya Tawala za Mitaa Tanzania (Alat) imesema itahakikisha hoja ya msingi ya kujitawala na kushiriki katika utawala wa nchi inaingizwa katika Katiba mpya na iwapo suala hilo litashindikana hawatashiriki...
9 years ago
Habarileo25 Oct
Bossou achimba mkwara
BEKI wa Yanga raia wa Togo, Vicent Bossou amesema mechi moja aliyoichezea klabu yake ya Yanga imemsaidia kujua ushindani uliopo kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara inayoendelea kwa sasa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DuwM4HxIS7Y/VK2jAsW4t3I/AAAAAAAG758/_0UM0QwaVqc/s72-c/IMG-20150108-WA0008.jpg)