Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukraine yawatuliza wanaotaka kujitenga

Waziri Mkuu wa mpito wa Ukraine amewaambia viongozi wa eneo la mashariki mwa nchi hiyo kwamba amekusudia kuwaongezea madaraka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kiluvya yawatuliza Mlale

Mabingwa wa Mkoa wa Pwani, Timu ya Kiluvya United ya Kiluvya nje kidogo ya jiji, mwishoni mwa wiki imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya JKT Mlale.

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga yawatuliza nyota wake

NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wamepanga kuwatuliza nyota wao kwa kuanzisha mipango endelevu ndani ya klabu hiyo ambayo itawahamasisha na kuwavutia kuendelea kuitumikia timu yao kwa mafanikio msimu ujao.
Kwa sasa Yanga inajiandaa na michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame) itakayofanyika Julai, mwaka huu nchini.
Lakini baada ya kumalizika kwa Ligi Kuu Mei 9 mwaka huu, Yanga wameendelea kuvuta subira kwenye usajili...

 

10 years ago

Mwananchi

TRA Mbinga yawatuliza wafanyabiashara

Wafanyabiashara wilayani Mbinga Mkoa wa Ruvuma wametakiwa kuendelea kuwa watulivu na kulipa kodi ya mapato kwa viwango vilivyowekwa kisheria hadi hapo watakapoelekezwa utaratibu mwingine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Scotland kubaki au kujitenga Uingereza

Upigaji kura ya maoni unakaribia kuanza Scotland kwa raia wa nchi hiyo kuamua kujitenga au kubaki kwenye himaya ya Uingereza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasiotaka kujitenga Scotland waongoza

Matokeo ya awali ya kura ya maoni ya uhuru wa Scotland yameanza kutolewa huku wasiotaka kujitenga wakiongoza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Paundi mjadala kujitenga Scotland

Huku raia wa Scotland wakitarajia kupiga kura ya maoni hapo kesho Paundi ni mojawapo ya masuala ambayo yamekuwa yakizungumzwa.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tanzania haitishwi majirani kujitenga’

Serikali imesema kuwa hatua iliyoanzishwa na nchi za Rwanda, Kenya na Uganda ambayo imeruhusu raia wake kusafari ndani ya nchi hizo kwa kutumia vitambulisho vya taifa badala ya hati ya kusafiria kuwa siyo tishio.

 

10 years ago

Mwananchi

Raia wa Scotland wakataa kujitenga na Uingereza

Scotland imefanya uamuzi wa mwisho wa kuendelea kuwa sehemu ya Uingereza ,kwa maamuzi ya kura ya maoni ambapo asilimia 55 ya raia wake kwa pamoja wamekataa uhuru wa moja kwa moja wa nchi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani