Kocha wa Atletico ajitetea kufungwa
Kocha Mkuu wa Atletico Madrid Diego Simeone amekiri kuwa alifanya makosa kumpanga Diego Costa katika mechi ya fainali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Kocha Tanzania Prisons ajitetea
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kocha Yanga ajitetea kwa Tegete
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Kaseja ajitetea
KIPA wa Yanga, Juma Kaseja, amejitetea na kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Simba katika mechi ya Nani Mtani Jembe, akisema ni hali ya kimchezo. Akizungumza baada ya mechi hiyo...
9 years ago
Habarileo02 Oct
Nyosso ajitetea
MCHEZAJI wa timu ya Mbeya City, Juma Said maarufu Nyosso amekitaka Chama cha Wachezaji wa Soka Tanzania (SPUTANZA), kumsaidia katika kupata haki yake. Beki huyo wa kati amefungiwa na Kamati ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) saa 72 inayofuatilia mwenendo wa Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza kutokana na kitendo cha utovu wa nidhamu alichoonesha katika mchezo wa timu yake hiyo dhidi ya Azam FC kwenye Uwanja wa Azam Complex hivi karibuni.
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Cassim Mganga ajitetea
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Kassim Mganga ‘Cassim’ amesema alishindwa kusambaza video ya wimbo wake wa ‘I Love You’ kutokana na audio kufanya vizuri na kutamba kila kona....
10 years ago
Habarileo10 Mar
‘Aliyeficha’ watoto 18 Moshi ajitetea
SIKU mbili baada ya jeshi la polisi kuvamia nyumba moja katika Kata ya Pasua katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, iliyotumika kuhifadhi zaidi ya watoto 18 kinyume cha utaratibu, mmiliki wa nyumba hiyo yenye vyumba vinne na choo kimoja, ameibuka na kujitetea licha ya kwamba anashikiliwa na polisi.
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Sep
Yona ajitetea, amtaja Mkapa
Na mwandishi wetu
ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, ameileza mahakama kuwa mchakato wa kumpata mkaguzi wa madini ya dhahabu ulifuata utaratibu zote na kusimamiwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Yona ambaye jana alipanda katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuanza kujitetea, alidai mwaka 2002 kulikuwa na malalamiko mengi kuhusu mapato ya dhahabu iliyokuwa ikichimbwa na kampuni tano za kigeni.
Akiongozwa na wakili wake Elisa Msuya mbele ya Jopo linaloongozwa na Jaji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TtwBo078M6hhzr*XQoXYL8eFlqIdqq5zkUJb2UEDei3Lk*8-CrMVGzyMdueju4NHHTIpokNa*sUllZHyh1sQdBxz44KRSl97/shilole.jpg)
MZIWANDA AJITETEA KUDUNDWA NA SHILOLE
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Van Gaal ajitetea kuhusu Falcao