Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIDEO: Rais Kikwete akitoka hospitali ya Johns Hopkins baada ya kuapata nafuu

D92A3585

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Maryland, Marekani alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji  wa tezi dume mwishoni mwa wiki iliyopita. Pamoja naye ni Mama Salma Kikwete na wasaidizi wake.

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

VIDEO YA SIKU RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOTOKA HOSPITALI BAADA YA KUPATA NAFUU


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa EdwardSchaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore,Maryland, Marekani alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji watezi dume mwishoni mwa wiki iliyopita.Pamoja naye ni Mama Salma Kikwete na wasaidizi wake.

 

10 years ago

Bongo5

Video: Rais Kikwete akitoka hospitali ya Marekani alikokuwa akitibiwa

Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameruhusiwa kutoka kwenye hospitali ya Johns Hopkins ya Maryland, nchini Marekani alikofanyiwa upasuaji wa Tezi Dume. Source: Issa Michuzi

 

5 years ago

Quartz

Interactive map from Johns Hopkins shows coronavirus in real time

Interactive map from Johns Hopkins shows coronavirus in real time  QuartzExperts From Johns Hopkins Testify On Capitol Hill  WJZJohns Hopkins University develops coronavirus interactive map  JET24 FOX66 YourErieHopkins experts present latest coronavirus information on Capitol Hill  The Hub at Johns HopkinsCurrent Coronavirus Testing Capacity Inadequate, Hopkins Expert Says At Capitol Hill Briefing  CBS BaltimoreView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete atoka Hospitalini Baada ya kupata nafuu

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Daktari Edward Schaeffer muda mfupi baada ya kuruhusiwa kutoka katika hospitali ya Johns Hopkins huko Baltimore, Maryland nchini Marekani ambapo alifanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.(picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE ATOKA HOSPITALINI BAADA YA KUPATA NAFUU

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete...

 

5 years ago

Outbreak News Today

Lyme Disease: Johns Hopkins study shows select herbal medicines are highly active against Borrelia burgdorferi

Lyme Disease: Johns Hopkins study shows select herbal medicines are highly active against Borrelia burgdorferi  Outbreak News TodayJapanese knotweed could be more effective than antibiotics at tackling problem of Lyme disease  Daily MailJapanese knotweed could be key to fighting Lyme disease  Telegraph.co.ukView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Dewji Blog

Cancer Update from Johns Hopkins: Avoiding and fighting Cancer

jhu_new_logo_large1.Every person has cancer cells in the body. These cancer cells do not show up in the standard tests until they have multiplied to a few billion. When doctors tell cancer patients that there are no more cancer cells in their bodies after treatment, it just means the tests are unable to detect the cancer cells because they have not reached the detectable size.

2. Cancer cells occur between 6 to more than 10 times in a person’s lifetime.

3. When the person’s immune system is strong the cancer...

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete azindua nyumba za bei nafuu Mkinga

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi nyumba za bei nafuu zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa( National Housing) huko Wilayani Mkinga,Mkoa wa Tanga jana.Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na huduma kwa jamii Cha Shirika la Nyumba la Taifa (National Housing) Bi.Susan Omari(kushoto) akitoa maelezo na kisha kukabidhi kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mshine za kutengeneza matofali aina ya Hydraform ambazo zitagawanywa kwenye wilaya zote za Mkoa wa Tanga ili...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AZINDUA NYUMBA ZA BEI NAFUU MKINGA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi nyumba za bei nafuu zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa( National Housing) huko Wilayani Mkinga,Mkoa wa Tanga jana.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na huduma kwa jamii Cha Shirika la Nyumba la Taifa (National Housing) Bi.Susan Omari(kushoto) akitoa maelezo na kisha kukabidhi kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mashine za kutengeneza matofali aina ya Hydraform...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani