Tomas Berdych,apata kocha mpya
Mcheza soka namba saba duniani Tomas Berdych amwajirii kocha wa zamani wa Andy Murra
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Kocha Liewig apata kibarua Azam
9 years ago
StarTV02 Nov
Kocha wa Prisons Apata nafuu na kuruhusiwa utoka Hospitali.
Aliekua kocha Mkuu wa Tanzania Prisons David Mwamaja ameruhusiwa kutoka Hospital ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa kwa siku kumi kutokana na kusumbuliwa na ugongwa wa kichwa baada damu kuvilia katika ubongo.
Mwamaja alianza kuugua ugonjwa huo wiki mbili zilizopita baada ya kuanguka akiwa katika majukumu ya kuinoa timu ya Mji Njombe inayoshiriki ligi daraja la kwanza.
Akizungumza kwa taabu kocha Mwamaja anaeleza kuwa alianguka katika korongo na kupoteza fahamu na baada ya kuzinduka akaanza...
9 years ago
Bongo511 Nov
Arsene Wenger apata tuzo ya kocha bora wa mwezi Oktoba
![wenger](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/wenger-300x194.jpg)
Kocha Arsene Wenger amechukua tuzo ya kocha bora wa mwezi katika ligi kuu ya Uingereza baada ya kuiongoza Arsenal kufanya vizuri mechi nne mfululizo.
Arsenal ilifunga magoli 11 katika mechi nne, huku ikizinyuka 3-0 United na Swansea.
Kwa upande wa wachezaji, tuzo hiyo imeenda kwa mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 15 katika klabu hiyo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgb0jWCRgIHg3G*oxJlNwCjazt4e75S1cSIULGsfQ1IjpzPwiVmGVGZVu3*oDxHPVdn7m5xPH0SdkVP04ovNkO3D/lulu.jpg?width=650)
LULU APATA KASHFA MPYA!
9 years ago
Bongo517 Oct
Queen Darleen apata management mpya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA MPYA STARS
9 years ago
Mtanzania11 Sep
Mgimwa apata mpinzani mpya jimbo la KalengaÂ
Na Elias Msuya
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo kimepata mgombea mpya atakayepambana na mgombea wa CCM katika jimbo la Kalenga katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Jimbo hilo linaloshikiliwa na Godfrey Mgimwa aliyeshinda uchaguzi mdogo Machi 2014 baada ya baba yake mzazi, Dk. William Mgimwa, kufariki dunia.
Akizungumza jana katika mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kidamali, Kalenga Iringa vijijini, mgombea mpya wa Chadema anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk. Mussa Mdede...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Yanga wamtega kocha mpya
KLABU ya Yanga imetangaza rasmi kumpatia mkataba wa miezi sita Kocha wake mpya, Hans Van Der Pluijm, ambaye tayari ameungana na timu hiyo iliyopo nchini Uturuki kujipanga kwa raundi ya...
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Zambia yapata kocha mpya