Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LULU APATA KASHFA MPYA!

Waandishi wetu
WAKATI mwili wa bilionea Lusekelo Samson Mwandenga ‘Seki’ aliyefariki dunia Alhamisi iliyopita ukitarajiwa kuzikwa leo mjini Dodoma, mitandao mbalimbali ya kijamii imempa kashfa staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa kumtaja kuwa alikuwa na uhusiano wa ‘kimalovee’ na marehemu huyo, Ijumaa Wikienda linakujuza. Staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Tambwe apata kashfa

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akiwania mpira na beki wa Simba, Juuko Murshid.
Mwandishi Wetu
Dar es SalaamYALE mambo ya kudhalilishana sasa yanaonekana kuendelea kushika kasi baada ya mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe kunaswa na kamera ‘noumaa’ za gazeti la Championi akimdhalilisha beki wa Simba, Juuko Murshid. Tambwe raia wa Burundi amenaswa akimvuta kwa makusudi sehemu za siri beki huyo ambaye...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti CCM apata kashfa

>Mwenyekiti mmoja wa CCM wilayani Uyui, (jina linahifadhiwa) anatuhumiwa kumlawiti kijana mmoja nyumbani kwake maeneo ya Bachu baada ya kumlewesha pombe.

 

10 years ago

GPL

LULU APATA PIGO LA KUFIWA

Imelda Mtema na Musa Mateja MSIBA! Staa mwenye umri mdogo anayekimbiza katika filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amepata pigo baada ya kufiwa na bibi yake mzaa mama, Leonadina Mboneko (pichani), aliyefariki dunia juzi asubuhi katika Hospitali ya Masana, iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1gbWwq8

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Apata Pigo, Afiwa na Bibi Yake

MSIBA! Staa mwenye umri mdogo anayekimbiza katika filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amepata pigo baada ya kufiwa na bibi yake mzaa mama, Leonadina Mboneko, aliyefariki dunia juzi asubuhi katika Hospitali ya Masana, iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na Amani mama mzazi wa Lulu, Lucresia Karugila alisema mama yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda mrefu jambo lililomlazimu kumtoa nyumbani kwake Bukoba na kumleta jijini kwa ajili ya kupata...

 

10 years ago

Mwananchi

Utata mpya waibuka kashfa ya ‘Miss Tanzania’ 2014

Hatima ya kashfa ya kudanganya umri inayomkabili aliyekuwa mrembo wa Tanzania mwaka 2014, Sitti Mtemvu bado ipo kizani baada ya polisi kuikana kauli ya Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita).

 

10 years ago

Bongo5

Tanzania yaingia kwenye kashfa mpya, ni mpango wa kuwahamisha wamasai 40,000 ili kuwapa Waarabu eneo la kuwindia

Kama ni kweli basi nchi hii inahitaji maombi. Ikiwa bado Tanzania inakabiliwa na skendo ya pembe za ndovu zinazodaiwa kuondoka na ndege ya rais wa China alizuru nchini, kashfa nyingine kubwa imezuka! Tanzania inashutumiwa kurejesha mpango wa kuwahamisha wamasai 40,000 katika eneo waliloishi kwa miaka na miaka, ili kuipa eneo hilo familia ya kifalme ya […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Tomas Berdych,apata kocha mpya

Mcheza soka namba saba duniani Tomas Berdych amwajirii kocha wa zamani wa Andy Murra

 

10 years ago

Bongo5

Queen Darleen apata management mpya

Queen Darlin amesema amepata kampuni ya muziki itakayosimamia muziki wake na kuhakikisha anafika sehemu nyingine. Darleen ameiambia Bongo5 kuwa sasa hivi kila kitu kitakuwa kinafanywa na kampuni hiyo. “Sasa rasmi Queen Darleen nakuja kivingine kabisa, kuna management ipo tayari kusimamia muziki wangu, kwahiyo sasa hivi mashabiki wasubirie vitu vizuri kutoka kwangu,” alisema. Jiunge na Bongo5.com […]

 

10 years ago

Mtanzania

Mgimwa apata mpinzani mpya jimbo la Kalenga 

M2Na Elias Msuya

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo kimepata mgombea mpya atakayepambana na mgombea wa CCM katika jimbo la Kalenga katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Jimbo hilo linaloshikiliwa na Godfrey Mgimwa aliyeshinda uchaguzi mdogo Machi 2014 baada ya baba yake mzazi, Dk. William Mgimwa, kufariki dunia.

Akizungumza jana katika mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kidamali, Kalenga Iringa vijijini, mgombea mpya wa Chadema anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk. Mussa Mdede...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani